Kichekesho cha Wanyambo kujiengua kabila la wahaya!

ukweli usiopingika wanyambo ni kabila kabisa. Lugha yao inashabiana na kihaya wala sio kihaya. baadhi ya tamaduni zinatofautiana. mtoa mada ukitaka fanya utafiti au sema tykusaidie nina uwezo wa kkukupa tofauti ya wanyambo na wahaya zaidi ya ishirini
 
ukweli usiopingika wanyambo ni kabila kabisa. Lugha yao inashabiana na kihaya wala sio kihaya. baadhi ya tamaduni zinatofautiana. mtoa mada ukitaka fanya utafiti au sema tykusaidie nina uwezo wa kkukupa tofauti ya wanyambo na wahaya zaidi ya ishirini

Mimi nina miezi kadhaa toka nimefunga ndoa na Mnyambo. Majuzi pia nilikuwa kwenye hilo tamasha la Wanyambo pale Makumbusho nipate kuwajua zaidi maana baba watoto wangu hafahamu sana kuhusu Karagwe na Wanyambo kwasababu amewahi kwenda huku mara moja tu tena akiwa mdogo. Hebu nijuze hizo tofauti ishirini. Tamasha sikulifaidi niliweza kuhudhuria siku moja tu na kwa muda mchache. Niko very interested kujua habari zao maana awali niliambiwa ni kama wahaya tu mara wamechanganyika sana na wanyarwanda
 
Lakini si tulifundishwa shuleni kuwa Tanzania inajengwa na makabila zaidi ya mia moja na ishirini hivi, sasa kati ya hayo lugha ya "Orunyambo" haimo? Mwenye kuweza kuweka orodha ya makabila yote ya Tanzania atasaidia kutofautisha kati ya wahaya na wanyambo.
 
Mwanafunzi wa darasa la pili ukimuliza makabila makubwa atalitaja la wahaya, sijui kama hilo lingine litatajwa[/QUOTE]


Pole sana nenda kasome wenzio wamekuelimisha wewe ukubwa wako unaupimia kwa mtoto wa darasa la pili!!!!! umepotea!!! Ukweli unabaki pale pale kwamba Wanyambo si Wahaya na waliobahatika kufika kwenye tamasha la Wanyambo wiki mbili zilizopita hilo walilielewa.

Mkuu ukweli sikuzote unajitenga!!!!!!!!!!!!
 
Tofauti ya kwanza ni salamu:

Wanyambo wanasalimia Mbah!! mfano mtu kama unamzidi ki umri hiyo ndo shikamoo. Wa haya wakubwa kwa wasogo ni Ma sibota!!!!
 
msichoelewa si kila mwana kagera ni muhaya wapo wanyayangilo, waziba, wanyambo, wahamba, wakara,wahaya,wasubi n.k sasa mimi sioni hoja iko wapi kuwabeza wanyambo na umoja wao. ni mtazamo tu nipo tiyari kusahihishwa kwa hoja
Bila kusahau hata wasukuma pia kama magufuli kwao ni kagera kule wanaitwa wasumbwa!!
 
Mwabanza Kujoborwa olwo Mwasiga ekibalesile omu omuli Rwegeso lwe mshonga mkatailila ebitali bwanyu, msitikwe ahansi Mwegese ebikorwa birungi omuli egi mitandao

Maana yake kuwa Mmeanza kuongea ovyo kuacha kilichowaletwa humu kwenye kujifunza na kufundisha mkaingilia ambavyo haviwahusu, kaa chini fundisha na kemea mambo muhimu kwenye mtandao huu
 
Tofauti ni ndogo sana, huwezi kumleta mgeni akatofautisha mapishi ya chakula cha Wanyambo na Wahaya, pombe ni ile ile LUBISI inatokana na ndizi kali; nimewasikia mimi mwenye wanasema pombe lazima utumie EKITEGERA je hii ina tofauti gani na Wahaya, wanazungumzia mpaka senene, Je Karagwe kweli (ENSENENE ZIGWAYO?) tofauti labda AMAKONDELE na baadhi ya matamshi ya baadhi ya maneno, lakini mbona hata sisi tuna tofauti zetu katika usemaji/matamshi wa KIHAYA lakini hilo sisi halitupi shida au kutufanya tuchukiane au kulalama kwamba mimi ni Mziba husihite Muyozya, mimi Muhamba usunihite Munya'yangiro, mimi Mukara husihite Muhendangabo. HAYAS are not some monster they haven't eaten ANYONE.

Mimi sina matatizo na tamaduni zao, kilicho nisikitisha ni hiki cha kuandika karibu magazeti yote kwamba sijuhi mwalimu mkuu wa Kihaya aliwahi kumlazimisha mwanafunzi wa Kinyambo abadilishe kabila na kujitambulisha kama Mhaya, labda hiyo ilikuwa an isolated incident hawakuishia hapo walilaumu kwamba sijuhi maaskofu/wachungaji waliwalazimisha wasome biblia zilizo andikwa kwenye Kihaya hivyo kusababisha Kinyambo kuingiliana na maneno ya Kihaya kikawa diluted! Sijuhi eti Mkama Kahigi aliwafanyia vitu vya kikatili! Kinacho shangaza wenyewe wanaona fahari kwamba wakati fulani Chief wao Rumanyika aliwahi kutawala karibu robo tatu ya mkoa wa Kagera na kuwafanya wenyeji vijakazi, lakini Chief Kahigi akishirikiana na Wajerumani walipo wageuzia KIBAO wakamuona mbaya.

Mwisho ingawa nina mengi ya kusema, impression niliyo pata ni as if Wahaya wako hell bent kuwameza Wanyambo na tamaduni zao, hiyo si kweli hata kidogo. Katika makala zao one could read between the lines ya kuonyesha kwamba wako very industrious na WAHAYA ni wavivu; it was a well organized event ya kujaribu ku-teardown WAHAYA by bulding themselves up, hakuna anaye wakataza kufanya tamaduni zenu lakini zisiwe at the expense ya kuwadhalilisha wenzenu, mbona Wahangaza na Wasubi wamewahi kufanya tamaduni zao sikuwahi kuwasikia wanawazulia Wahaya au kuwalalamikia, ASIMWE RUHANGA.
 
ukweli usiopingika wanyambo ni kabila kabisa. Lugha yao inashabiana na kihaya wala sio kihaya. baadhi ya tamaduni zinatofautiana. mtoa mada ukitaka fanya utafiti au sema tykusaidie nina uwezo wa kkukupa tofauti ya wanyambo na wahaya zaidi ya ishirini
Ningeomba unijuze tofauti iliyopo kati ya wanyambo na wahaya!!Kama hujarudi kulekule!!
Mimi nina miezi kadhaa toka nimefunga ndoa na Mnyambo. Majuzi pia nilikuwa kwenye hilo tamasha la Wanyambo pale Makumbusho nipate kuwajua zaidi maana baba watoto wangu hafahamu sana kuhusu Karagwe na Wanyambo kwasababu amewahi kwenda huku mara moja tu tena akiwa mdogo. Hebu nijuze hizo tofauti ishirini. Tamasha sikulifaidi niliweza kuhudhuria siku moja tu na kwa muda mchache. Niko very interested kujua habari zao maana awali niliambiwa ni kama wahaya tu mara wamechanganyika sana na wanyarwanda
Nadhani atakuwa amekuelewa ngoja tumpe mda atatujibu ili upate ufahamu mzuri kuhusu wanyambo!!
 
Tofauti ni ndogo sana, huwezi kumleta mgeni akatofautisha mapishi ya chakula cha Wanyambo na Wahaya, pombe ni ile ile LUBISI inatokana na ndizi kali; nimewasikia mimi mwenye wanasema pombe lazima utumie EKITEGERA je hii ina tofauti gani na Wahaya, wanazungumzia mpaka senene, Je Karagwe kweli (ENSENENE ZIGWAYO?) tofauti labda AMAKONDELE na baadhi ya matamshi ya baadhi ya maneno, lakini mbona hata sisi tuna tofauti zetu katika usemaji/matamshi wa KIHAYA lakini hilo sisi halitupi shida au kutufanya tuchukiane au kulalama kwamba mimi ni Mziba husihite Muyozya, mimi Muhamba usunihite Munya'yangiro, mimi Mukara husihite Muhendangabo. HAYAS are not some monster they haven't eaten ANYONE.

Mimi sina matatizo na tamaduni zao, kilicho nisikitisha ni hiki cha kuandika karibu magazeti yote kwamba sijuhi mwalimu mkuu wa Kihaya aliwahi kumlazimisha mwanafunzi wa Kinyambo abadilishe kabila na kujitambulisha kama Mhaya, labda hiyo ilikuwa an isolated incident hawakuishia hapo walilaumu kwamba sijuhi maaskofu/wachungaji waliwalazimisha wasome biblia zilizo andikwa kwenye Kihaya hivyo kusababisha Kinyambo kuingiliana na maneno ya Kihaya kikawa diluted! Sijuhi eti Mkama Kahigi aliwafanyia vitu vya kikatili! Kinacho shangaza wenyewe wanaona fahari kwamba wakati fulani Chief wao Rumanyika aliwahi kutawala karibu robo tatu ya mkoa wa Kagera na kuwafanya wenyeji vijakazi, lakini Chief Kahigi akishirikiana na Wajerumani walipo wageuzia KIBAO wakamuona mbaya.

Mwisho ingawa nina mengi ya kusema, impression niliyo pata ni as if Wahaya wako hell bent kuwameza Wanyambo na tamaduni zao, hiyo si kweli hata kidogo. Katika makala zao one could read between the lines ya kuonyesha kwamba wako very industrious na WAHAYA ni wavivu; it was a well organized event ya kujaribu ku-teardown WAHAYA by bulding themselves up, hakuna anaye wakataza kufanya tamaduni zenu lakini zisiwe at the expense ya kuwadhalilisha wenzenu, mbona Wahangaza na Wasubi wamewahi kufanya tamaduni zao sikuwahi kuwasikia wanawazulia Wahaya au kuwalalamikia, ASIMWE RUHANGA.
Umenifurahisha sana kwa ufafanuzi wako!!Thanks

Mwabanza Kujoborwa olwo Mwasiga ekibalesile omu omuli Rwegeso lwe mshonga mkatailila ebitali bwanyu, msitikwe ahansi Mwegese ebikorwa birungi omuli egi mitandao

Maana yake kuwa Mmeanza kuongea ovyo kuacha kilichowaletwa humu kwenye kujifunza na kufundisha mkaingilia ambavyo haviwahusu, kaa chini fundisha na kemea mambo muhimu kwenye mtandao huu
Wewe mimi sijskusoma kabisa kwani hata kihaya ulichoandika sikihaya sijui nikabila gani wewe binafsi twambie humu kwenye huu mtandao umekuja kujifunza somo lipi? hili nasi tujue!!
 
Tofauti ni ndogo sana, huwezi kumleta mgeni akatofautisha mapishi ya chakula cha Wanyambo na Wahaya, pombe ni ile ile LUBISI inatokana na ndizi kali; nimewasikia mimi mwenye wanasema pombe lazima utumie EKITEGERA je hii ina tofauti gani na Wahaya, wanazungumzia mpaka senene, Je Karagwe kweli (ENSENENE ZIGWAYO?) tofauti labda AMAKONDELE na baadhi ya matamshi ya baadhi ya maneno, lakini mbona hata sisi tuna tofauti zetu katika usemaji/matamshi wa KIHAYA lakini hilo sisi halitupi shida au kutufanya tuchukiane au kulalama kwamba mimi ni Mziba husihite Muyozya, mimi Muhamba usunihite Munya'yangiro, mimi Mukara husihite Muhendangabo. HAYAS are not some monster they haven't eaten ANYONE.

Mimi sina matatizo na tamaduni zao, kilicho nisikitisha ni hiki cha kuandika karibu magazeti yote kwamba sijuhi mwalimu mkuu wa Kihaya aliwahi kumlazimisha mwanafunzi wa Kinyambo abadilishe kabila na kujitambulisha kama Mhaya, labda hiyo ilikuwa an isolated incident hawakuishia hapo walilaumu kwamba sijuhi maaskofu/wachungaji waliwalazimisha wasome biblia zilizo andikwa kwenye Kihaya hivyo kusababisha Kinyambo kuingiliana na maneno ya Kihaya kikawa diluted! Sijuhi eti Mkama Kahigi aliwafanyia vitu vya kikatili! Kinacho shangaza wenyewe wanaona fahari kwamba wakati fulani Chief wao Rumanyika aliwahi kutawala karibu robo tatu ya mkoa wa Kagera na kuwafanya wenyeji vijakazi, lakini Chief Kahigi akishirikiana na Wajerumani walipo wageuzia KIBAO wakamuona mbaya.

Mwisho ingawa nina mengi ya kusema, impression niliyo pata ni as if Wahaya wako hell bent kuwameza Wanyambo na tamaduni zao, hiyo si kweli hata kidogo. Katika makala zao one could read between the lines ya kuonyesha kwamba wako very industrious na WAHAYA ni wavivu; it was a well organized event ya kujaribu ku-teardown WAHAYA by bulding themselves up, hakuna anaye wakataza kufanya tamaduni zenu lakini zisiwe at the expense ya kuwadhalilisha wenzenu, mbona Wahangaza na Wasubi wamewahi kufanya tamaduni zao sikuwahi kuwasikia wanawazulia Wahaya au kuwalalamikia, ASIMWE RUHANGA.


Asante mkuu kwa ufafanuzi huo.
 
Tofauti ya kwanza ni salamu:

Wanyambo wanasalimia Mbah!! mfano mtu kama unamzidi ki umri hiyo ndo shikamoo. Wa haya wakubwa kwa wasogo ni Ma sibota!!!!
Hiyo mbah ni mdogo kwenda mkubwa!!Je mkubwa kwenda mdogo??Wahaya mkumbwa kwenda mdogo kuna aina nyingi ya salamu kama ifuatavyo:-Asubuhi O'railota,O'railotai,Orailotaige! Unaona kama yanafanana!! Lakini yanatofautiana kwa matamshi!!,Mchana!-Wasibota,Wasibotaigea!Nataka wewe ueleze neno naomba maji yakunywa kwa kinyambo nakwakihaya tuone tofauti ya wanyambo na wahaya!!

Asante mkuu kwa ufafanuzi huo.
Je umeelewa??
 
Hello Friend.
How Are You And Also About Your Present Condition Of Health I Know All Is Well With You If So Thanks Be To God Almighty For Making It So.
WELL WITH OUT WASTING OF OUR TIME.. My Name Is Miss mirian, A Young Girl I Am Looking For one who I Will Relate With for love and longterm relationship.
For More Info I will Send You My Photo For You To Know More About Me, Please Do Mail Me On This
email... mirian2love@yahoo.co.uk


Yours
mirian
 
msichoelewa si kila mwana kagera ni muhaya wapo wanyayangilo, waziba, wanyambo, wahamba, wakara,wahaya,wasubi n.k sasa mimi sioni hoja iko wapi kuwabeza wanyambo na umoja wao. ni mtazamo tu nipo tiyari kusahihishwa kwa hoja
<br />
<br />
we ndo ujui kitu kabisa kwan wanyayangiro & na waziba sio wahaya? Wahaya wameundwa na makund madogomadogo kama, waziba,wayoza,wanyayangiro,wahamba n.k wanyambo wanajitenga ila ni swala la kihistoria..nitarudi.
 
Hello Friend.&lt;br /&gt;<br />
How Are You And Also About Your Present Condition Of Health I Know All Is Well With You If So Thanks Be To God Almighty For Making It So.&lt;br /&gt;<br />
WELL WITH OUT WASTING OF OUR TIME.. My Name Is Miss mirian, A Young Girl I Am Looking For one who I Will Relate With for love and longterm relationship.&lt;br /&gt;<br />
For More Info I will Send You My Photo For You To Know More About Me, Please Do Mail Me On This&lt;br /&gt;<br />
email... &lt;a href=&quot;mailto:mirian2love@yahoo.co.uk&quot;&gt;mirian2love@yahoo.co.uk&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Yours&lt;br /&gt;<br />
mirian
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
I deserve that opportunity..
 
Tofauti ni ndogo sana, huwezi kumleta mgeni akatofautisha mapishi ya chakula cha Wanyambo na Wahaya, pombe ni ile ile LUBISI inatokana na ndizi kali; nimewasikia mimi mwenye wanasema pombe lazima utumie EKITEGERA je hii ina tofauti gani na Wahaya, wanazungumzia mpaka senene, Je Karagwe kweli (ENSENENE ZIGWAYO?) tofauti labda AMAKONDELE na baadhi ya matamshi ya baadhi ya maneno, lakini mbona hata sisi tuna tofauti zetu katika usemaji/matamshi wa KIHAYA lakini hilo sisi halitupi shida au kutufanya tuchukiane au kulalama kwamba mimi ni Mziba husihite Muyozya, mimi Muhamba usunihite Munya'yangiro, mimi Mukara husihite Muhendangabo. HAYAS are not some monster they haven't eaten ANYONE.<br />
<br />
Mimi sina matatizo na tamaduni zao, kilicho nisikitisha ni hiki cha kuandika karibu magazeti yote kwamba sijuhi mwalimu mkuu wa Kihaya aliwahi kumlazimisha mwanafunzi wa Kinyambo abadilishe kabila na kujitambulisha kama Mhaya, labda hiyo ilikuwa an isolated incident hawakuishia hapo walilaumu kwamba sijuhi maaskofu/wachungaji waliwalazimisha wasome biblia zilizo andikwa kwenye Kihaya hivyo kusababisha Kinyambo kuingiliana na maneno ya Kihaya kikawa diluted! Sijuhi eti Mkama Kahigi aliwafanyia vitu vya kikatili! Kinacho shangaza wenyewe wanaona fahari kwamba wakati fulani Chief wao Rumanyika aliwahi kutawala karibu robo tatu ya mkoa wa Kagera na kuwafanya wenyeji vijakazi, lakini Chief Kahigi akishirikiana na Wajerumani walipo wageuzia KIBAO wakamuona mbaya.<br />
<br />
Mwisho ingawa nina mengi ya kusema, impression niliyo pata ni as if Wahaya wako hell bent kuwameza Wanyambo na tamaduni zao, hiyo si kweli hata kidogo. Katika makala zao one could read between the lines ya kuonyesha kwamba wako very industrious na WAHAYA ni wavivu; it was a well organized event ya kujaribu ku-teardown WAHAYA by bulding themselves up, hakuna anaye wakataza kufanya tamaduni zenu lakini zisiwe at the expense ya kuwadhalilisha wenzenu, mbona Wahangaza na Wasubi wamewahi kufanya tamaduni zao sikuwahi kuwasikia wanawazulia Wahaya au kuwalalamikia, ASIMWE RUHANGA.
<br />
<br />
asanteh umetusemea.ASIMWE LUGABA..
 
Back
Top Bottom