Nashindwa kuelewa kwa wanajamii wa kagera kujitenga,juzi kulianzishwa siku ya wanyambo pale makumbusho,Kwa misingi hiyo wanyambo wanasema siyo wahaya!!Je ni wanyarwanda??walioko Tanzania??ila wote hao ni mbwenu ila hizo ni mbwembwe zao tu !!
Wanambwembwe za kizamaani ,mbna mie nasikia hawa jamaa ni kabila kadogo kenye watu wasiosoma na kapo ndani ya wahaya ni kweli au?
Kuwaita Wahaya ni kuwakosea heshima na kuwanyima haki yao ya msingi ya kuwa kabila kubwa na huru linalojitegemea.
Khe Khee KheeeeeeeHaupiti mwezi humu JF bila Wahaya kujadiliwa.
Hii inadhihirisha kuwa our tribe is very famous.
Aiseeeee!!!!!!!Mwenzetu, issue ya kusoma ya mtu mmoja mmoja kwa ajili ya kupambana na maisha. Sasa we twambie we elimu yako ni ipi na sidhani kama ungekuwa na elimu ya kutosha ungeweza andika aibu tupu kama hii. Mi ni mnyambo halisi na shule nimeenda yawezekana elimu niliyonayo huoni ndani, sasa kutaja kabila fulani halikusoma, umeonesha kwamba we shallow minded person na kama una kadigrii kamoja kwa hivi sasa ni kitu cha kawaida, watu wanacheza na PhD wana deal na issue za kuboresha maisha. Sijui mwenzetu unaelimu gani unayoweza kusimama na ku-generalize society kwamba haikwenda shule! nakuonea huruma nziriye!!!!!!!!!!
msichoelewa si kila mwana kagera ni muhaya wapo wanyayangilo, waziba, wanyambo, wahamba, wakara,wahaya,wasubi n.k sasa mimi sioni hoja iko wapi kuwabeza wanyambo na umoja wao. ni mtazamo tu nipo tiyari kusahihishwa kwa hoja
Nashindwa kuelewa kwa wanajamii wa kagera kujitenga,juzi kulianzishwa siku ya wanyambo pale makumbusho,Kwa misingi hiyo wanyambo wanasema siyo wahaya!!Je ni wanyarwanda??walioko Tanzania??ila wote hao ni mbwenu ila hizo ni mbwembwe zao tu !!
Nashindwa kuelewa kwa wanajamii wa kagera kujitenga,juzi kulianzishwa siku ya wanyambo pale makumbusho,Kwa misingi hiyo wanyambo wanasema siyo wahaya!!Je ni wanyarwanda??walioko Tanzania??ila wote hao ni mbwenu ila hizo ni mbwembwe zao tu !!
Haupiti mwezi humu JF bila Wahaya kujadiliwa.
Hii inadhihirisha kuwa our tribe is very famous.