Kichaga special thread

asubuhi sana

JF-Expert Member
Mar 18, 2015
1,666
1,402
Shimbonyi?

Lugha Yangu mm najua kuongea kinyaturu na kiswahili tu, lakin katika pitapita zangu nimekutana na wachaga wengi wananiuliza wew nyumban wapi?? Na nikiwatajia jina langu wananiambia wew ni mchaga mwenzetu, hata katika pita pita zangu nashangaa wachaga wananisalimia kikwao "shimbonyi?

Na mie hukosa cha kuwajibu hapo , ningependa tufundishane kichaga hapa kwa wana jf chaga !

Cha ajabu wananiambiaga nikaulize vizuri nyumbani mm kabila gani

Mr. Asubuhi ,

NB kichaga ~ tafasiri moja kwa moja ,nitashukuru sana
 
Jina wachaga ni muunganiko wa makabila sasa ukisema muongee mtaongea kichaga cha wapi??kwanza wachaga wengine ni mbulula.....
 
asubuhi sana

Wachaga wamegawanyika kutokana na maeneo ya asili yao na kichaga wanachotumia.
kuna
Wa machame
Wa kibosho
Wa Narumu
Wa huru
Wa marangu
Wa rombo
Lugha wanayotumia baadhi ya maneno hayafanani na baadhi yanafanana.Inatakiwa useme unataka ufundishwe kichaga cha sehemu gani.
 
Last edited by a moderator:
asubuhi sana

Wachaga wamegawanyika kutokana na maeneo ya asili yao na kichaga wanachotumia.
kuna
Wa machame
Wa kibosho
Wa Narumu
Wa huru
Wa marangu
Wa rombo
Lugha wanayotumia baadhi ya maneno hayafanani na baadhi yanafanana.Inatakiwa useme unataka ufundishwe kichaga cha sehemu gani.

Kibosho, machame
 
Last edited by a moderator:
Na ni kwa nini Wamarangu wanajifanya wao ndio wazungu weusi wakati kichwani ni Empty nawahumiaga kwa sababu hawajielewi baada ya kujiona ni wazuri wakabaki hapo.
 
Kuna wakati katika pita pita zangu nikakutana na 'Kimochi', kuna mchaga anaekizungumza humu?
 
Back
Top Bottom