Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Daktari wa vichaa aliingia wodi ya vichaa kuangalia wagonjwa wake wanaendeleaje.
Akawakuta wagonjwa wote wametulia huku wakimsikiliza mgonjwa mwenzao ambaye alikuwa anaonekana kama anawahubiria vichaa wenziwe huku kichaa mmoja akiwa amejitenga mbali kidogo.
Yule kichaa 'mhubiri' alipomwona daktari, bila kuulizwa akapayuka kwa nguvu
"Mimi nimetumwa na Bwana toka mbinguni nije kuwaokoa hawa wanadamu"
Mara sauti ya ukali kutoka kwa yule mgonjwa aliyejitenga ikasika
"Muongo huyo sijamtuma"
Akawakuta wagonjwa wote wametulia huku wakimsikiliza mgonjwa mwenzao ambaye alikuwa anaonekana kama anawahubiria vichaa wenziwe huku kichaa mmoja akiwa amejitenga mbali kidogo.
Yule kichaa 'mhubiri' alipomwona daktari, bila kuulizwa akapayuka kwa nguvu
"Mimi nimetumwa na Bwana toka mbinguni nije kuwaokoa hawa wanadamu"
Mara sauti ya ukali kutoka kwa yule mgonjwa aliyejitenga ikasika
"Muongo huyo sijamtuma"