MTU anayedaiwa kuwa mgonjwa wa akili amevamia shule ya msingi Kabutaigi wilayani Muleba na kumuua mwanafunzi wa darasa la nne na kisha kuwajeruhi walimu wawili kwa mapanga. Mkuu wa Wilaya hiyo Angelina Mabulla ametbitisha kufanyika kwa mauaji.
dah inasikitisha saaana! Kweli hii serikali ni legelege km kinyesi cha ngedere inaacha vichaa wanarandaranda mitaani na kudhuru wananch, hp Motown kn kichaa alimbaka nesi live mchana kweupeee maskini yule nesi alikunywa sumu akafa.
Dah! huyu kichaa ameleta hasara kwenye familia, kuzaa mtoto na kumlea adi kufika darasa la nne si kazi ndogo. Lkn hii ya Nesi kubakwa na kichaa adhari nayo ni kubwa kuliko duuuuh!!
Best! Hii serikali legelege kama hii ya JK wanasikia ki2 kama hicho. Rest In Peace kijana wetu na waliojeruhiwa poleni na MUNGU awazidishie nguvu mpone mapema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.