chakarikamkopo
Member
- May 24, 2012
- 79
- 54
Majira ya Mchana leo 27th September 2012 Maeneo ya Mnazi Mmoja magari yalisongamana sana kwenye makutano karibu na Police Post na kusababisha foleni ndefu sana ndipo Kibwana Dachi alipoingilia kati na kuongoza magari, kwa muda mfupi tu akawa ameondoa foleni ndefu sana. Hongera sana mkuu kwa moyo wa kujitolea......Polisi Jamii@work
PS. Ignore tarehe kwenye picha, kamera ilikuwa haijarekebishwa tarehe
Source: Facebook page
PS. Ignore tarehe kwenye picha, kamera ilikuwa haijarekebishwa tarehe
Source: Facebook page