Katika watangazaji ninaowahusudu ni huyu jamaa. Kwanza ni muwazi sana, pili anatumia nidhamu ya hali ya juu, na tatu ni mtafiti asie na mipaka. Ni icon ya pekee katika uhandishi wa habari. Anafaa kuwa Kiongozi pia. Nadhani kina Kibonde inabidi waige watu hawa.