Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Je kuna sheria inayozuia wasikilizaji wa kesi mahakamani hata kama kesi ile inazungumziwa katika chamber court.
Kuhusiana na yaliyotokea leo katika mahakama ya kisutu, je ni halali kuzuia waandishi wa habari kufuatilia kesi inayomhusu rais wa zamani.
Je isingekuwa busara kuhamisha mahakama ikafanyiwe nyumbani kwa raisi Mwinyi badala ya kuipeleka mahakamani na kuzuia watu kuisikilia?
Kuhusiana na yaliyotokea leo katika mahakama ya kisutu, je ni halali kuzuia waandishi wa habari kufuatilia kesi inayomhusu rais wa zamani.
Je isingekuwa busara kuhamisha mahakama ikafanyiwe nyumbani kwa raisi Mwinyi badala ya kuipeleka mahakamani na kuzuia watu kuisikilia?