mbona kibondw nilikuwa nae Loliondo, kwann aisiamini miujiza
Ndugu yangu kwani kuna dini mpya Tz inaitwa Shk Yahya?Nimesikiliza kwenye kipindi chake cha jahazi anabisha kuwa hakuna miujiza ya uponyaji . Lakini kwa walio wa Kristu wanaamini kila jambo linawezekana endapo utaomba kwa imani . Au kibonde anaabudu kwa shehe yahaya ?
alisema babu atoe dawa kwa wataalam wa afya ipelekwe maabara kupimwa kama kweli inauwezo wa kutibu wenzake wakamwambia babu ameshasema ni miujiza sasa maabara inahuuu . Yeye akaanza kutoa mfano ndugu yake alikufa baada ya kuambewa huku akitaka waliopona ukimwi waende na vyeti vyao clouds halafu awapeleke kupimwa vinginevyo yeye hakubaliani na wanaodai wamekunywa dawa wameponaTupe habari kamili alitoa hoja gani kusema hivyo kama alitoa hoja ziweke hapa
Ndugu yangu kwani kuna dini mpya Tz inaitwa Shk Yahya?
Kwani mkùu analindwa na midude?yaani kuabudu ile midude iliyowekwa kumuimarishia ulkinzi mkuu wa kaya teh teh teh
Ni yale yale ya Kakobe kutmia TV kuonyesha anaponyesha. Inapokuja kwa Babu anamwandama . Kibonde alikuwa Loliondo na kanywa dawa. Kama imani yake ndio hiyo alienda ku,jaribu Mungu? Nahaponi hizo HIV zake na tuone
Kwani mkùu analindwa na midude?
alisema babu atoe dawa kwa wataalam wa afya ipelekwe maabara kupimwa kama kweli inauwezo wa kutibu wenzake wakamwambia babu ameshasema ni miujiza sasa maabara inahuuu . Yeye akaanza kutoa mfano ndugu yake alikufa baada ya kuambewa huku akitaka waliopona ukimwi waende na vyeti vyao clouds halafu awapeleke kupimwa vinginevyo yeye hakubaliani na wanaodai wamekunywa dawa wamepona