Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
yote haya ni hawa jamaa kujipa uhuru kupita mipaka yani wanaona wakiwaredioni wanaweza kuongea chchote na wasifanywe lolote ukiuliza utaambiwa uhuru wa vyombo vya habari
Kwanza hiyo radio leseni yao ni ipi. Maana naskia wanatakiwa wapige tu muziki .