kutumia arv si dhambi, hata cdm yaweza kuwa na watumia arvs. Tujadili udhaifu wa kibonde wa kuyaona makosa kama tija.Usiku mwema..
Ila eti huyo ndo yule watu wanadai anatumia sijui ARV... mi nimesikia kwa watu..
CDM ni Chama kitatumiaje ARV?kutumia arv si dhambi, hata cdm yaweza kuwa na watumia arvs. Tujadili udhaifu wa kibonde wa kuyaona makosa kama tija.
CDM ni Chama kitatumiaje ARV?
we acha wepesi wa mawazo!cdm ni chama kitatumiaje arv?
Mbona umekuwa mchungu mtu wangu, vipi? na mapovu bwi bwi bwi bwi mdomoni utafikiri umeshikwa kunakokuna ubaya gani kutumia ARVs....!!!!??? mbona ARVs ni kama aspirin vile huyu anayeingiza hoja za afya ya kibonde hapa ni DHAIFU kifikira. usijadili watu jadili ISSUES.....!
sasa kama anatumia wewe inakuhusu nini, hapo kwenye familia yako wangapi wanatumia hizo ARVs, anza kujadili wa hapo nyumbani kwenu kwanza, hivi hujui kama kibonde anatumia ARV kesho na keshokutwa ukisikia aliwahi kutembea na dada yako utakuja kutueleza kuwa ""dada yangu anatumia ARVs.....!!!???"""