KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
mdau hili la kukohoa sijui kama linaruhusiwa kwenye redio,maana wengi wafanyavyo hivi huishia kuomba samahani,jamaa yeye anachapa mwendo tu
hahahahaaa
Mi mwenyewe huwa nashangaa,, wao huwa wanachukulia kama jingle flani ivi.