Kibonde afungua baa na stationery

Mmmh bado sijaona point yako, sidhani kama mda wote anakuwa sahihi japokuwa ni mtangazaji mzuri ila ana matatizo ya kuropoka tu, sidhani kama watu wote wote watakuwa wanamponda with no reason..ana mapungufu yake

Anasauti nyororo afu nadhifu, umeiona point au bado????
 
Cha msingi ni mpiganaji na anajua kucheza na fursa mengine ni minor weakness
 
Sauti yake ni nyororo Mhhhhhhhhhhhh

aache uropokaji,nakumbuka enzi nasoma UDSM alivyosemga mbovu mbofu

nimekumbuka zile moments acha kabisa kesho yake kwenye jahazi akawa mpole
Nilidhani unasema mlisoma wote UDSM ningekidharau kabisa hiko chuo kuanzia leo, by the way nimekumbuka huyu alipata division four kwahiyo malango ya pale UDSM ataishia kuyaona kwenye tv tu, maana hata midahalo ya Nkrumah hall hana gutts za kutia pua yake.
 
Nilidhani unasema mlisoma wote UDSM ningekidharau kabisa hiko chuo kuanzia leo, by the way nimekumbuka huyu alipata division four kwahiyo malango ya pale UDSM ataishia kuyaona kwenye tv tu, maana hata midahalo ya Nkrumah hall hana gutts za kutia pua yake.

hahaa nakumbuka watu walibandika hadi results zake pale

pale ndo nilijua mengi kuhusu huyu mjamaa
 
hahaa nakumbuka watu walibandika hadi results zake pale

pale ndo nilijua mengi kuhusu huyu mjamaa
Ujanja mwingi mbele kiza hana lolote huyu bwegge na kinachombeba hapa ni vile amekulia Upanga na watoto wakishuwa wengi ndio wamekamata channel hapa mjini, hivyo zikitokea fursa za kazi ya kupiga porojo za umc lazima wampe childhood wao na kinachomcost hana elimu otherwise angeshapasiwa pande na kuwa na kazi ya maana tu hapa town badala ya ile ya kujichekesha kwa Ruge
 
Nimefuatilia mienendo ya baadhi ya wanaJF humu ndani wakimsengenya huyu nguli wa taaluma ya habari bila sababu za kisomi.kwa kuwa tu anatofutiana nao katika misimamo ya kisiasa.

Kwa mfano leo hii muda huu anafanya kwa usadi mkubwa kazi ya MC katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar kwenye mkutano wa wadau wa PSPF.
Huyu bwana ni mfano wa kuigwa kwani ni nadhifu,sauti yake nyororo na yko makini kwa kazi yake.

Hili naamini limemfurahisha hata Mzee Mwinyi ambaye ni mgeni rasmi


Mkuu hapo kwenye red bold, nina swali.

Nini tafsiri ya nguli wa habari?

Toa ushuhuda wako kama mfano wa tafsiri hapo juu, ukilinganisaha na maana halisi ya tafsiri.
 
Tatizo lake anajifanya yeye ndo msemaji wa serikali na kila kitu kujifanya anajua yeye
kidogo siku hizi nafurahi kuona mussa hassan anampa chellenge kidogo wengine walikuwa wanamuogopa sana.
 
Kiwango changu cha wasiwasi huongezeka kwa kiwango cha kutisha ninapomsikiliza Kibonde au Mchomvu........haswa wanapokuwa excited kwenye jambo fulani.......na hofu yangu kubwa huwa ni........sasa Mungu wangu, huyu jamaa anaenda kutamka neno gani hewani ?

Nimewaorodhesha kama watangazaji RISK wawapo live hewani....wanaweza hata kutukana au kukashifu wakiwa on air............ingawa napenda kuwasikiliza.
 
Anapenda kujikosha kwa anaowaamini kuwa atachumia tumbo lake, kiukweli huyu Jamaa anawahudhi wengu kwa umbea
 
Back
Top Bottom