minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
Mdogo huyu wa uswazi ameonesha ujasiri wa daraja la kwanza pale alipotamka bayana kwenye "Mr President" yake verse ya 3, inter alia:
...Usihangaike kumtafuta Romaâ¦mi!! Hakimu wa getho
Mwenye sauti ya mamlaka!!! iliyomfikisha Mrombo Keko
Baada ya kukemea ufisadi na sera za Karamagi
Na waliokula jasho letu kwenye migodi ya Buzwagi...
my take;
je mchango wa huyu kijana na watanzania wengine wenye malalamiko dhidi ya utendaji wa kazi wa mramba na karamagi umechangia kuanguka kwao kisiasa kwenye uchaguzi 2010?