MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Tuhadithie basi wewe hiyo kweli iliyo kwenye kitabu chenu.
Yesu ni Mungu.
Tuhadithie basi wewe hiyo kweli iliyo kwenye kitabu chenu.
Yesu ni mungu.
Koran inadai kuwa allah hana msaidizi, wakati huohuo Koran na/au allah anasema WE separated, Quran 21:30, lol.
HIZI NDIZO SHAKA NDANI YA KORAN.
Je kwa wakristo wanaposoma kuwa mungu is a Triune God i.e. the Father the Son and the Holy spirit, huu pia ni uongo? You seem to question the WE under God's absolute oneness in the QURAN. I wonder do you carry the same sentiments across the board?
What exactly are trying to say here?
Ivi alikwambia eeh... Kuwa yeye mungu...!?
Na hii inahusiana vipi na hii thread? Mh mwalimu!
Je kwa wakristo wanaposoma kuwa mungu is a Triune God i.e. the Father the Son and the Holy spirit, huu pia ni uongo? You seem to question the WE under God's absolute oneness in the QURAN. I wonder do you carry the same sentiments across the board?
Questioning the fairness in applying criticism.
and whacho about that, nway? Kwenye koran mungu anasingiziwa kutumia both UWINGI na UMOJA. No consistence.. How does that sound to you, mr./s. great thinker?
Kwanza I in way infer to be a great anything, I am a human accorded the same facilities as any other human. We are all equal in that respect.
Pili I see nothing wrong kwa Mungu kutumia uwingi/umoja. Why should it be ok for one and not the other.
Islam does not object to God being multidimensional, what it objects to is the spliting. It is a monotheistic religion. To be precise it objects to the elevation of mary or any other as a part God. read Quran 5:116.
It emphasizes that there is only one GOD final.
mie nina hakika hayo maneno yako ukamuuze issa bin mariam au kama vile unayojua wewe yesu.
Haha haha ahha, eti Koran haina shaka. Haya hebu tusome shaka ndani ya korani ya kugushu.
41:9 Say (O Muhammad, unto the idolaters): Disbelieve ye verily in Him Who created the earth in two Days, and ascribe ye unto Him rivals ? He (and none else) is the Lord of the Worlds.
41:10 He placed therein firm hills rising above it, and blessed it and measured therein its sustenance in four Days, alike for (all) who ask;
41:12 Then He ordained them seven heavens in two Days and inspired in each heaven its mandate; and We decked the nether heaven with lamps, and rendered it inviolable. That is the measuring of the Mighty, the Knower.
The Quran, however, has a real problem here as Surah 41:9, 10, 12 have a total of eight days of creation (4+2+2=8). Meanwhile, Surah 10:3 gives the total number of days of creation as six. SASA ALLAH ALIUMBA DUNIA KWA SIKU NGAPI? SITA, NANE, ? Kaazi kweli kweli.
This is a problem of self-contradiction na/au SHAKA.
Koran imejaa shaka kibao. Ukitaka nitakuwekea kila siku.
Pure mashudu + samadi,
Nimekuuliza lete ushahidi ya kuwa Koran ni kitabu cha Mungu..sasa ona ulichokileta. Usianze kuleta conclusion kabla ya findings mkuu.
Nilijua tu hii hoja itakushinda.
Pole zako.
yesu na muhmadi wote wamoja na wote wanamsujudia mungu mmoja.
sio kama hamujui munajua lakini mungu wenu shetanu mushapotea.
ibada zao moja pamoja na akina ibrahi , musa na manabii wote.
sio manabii wenu manabii wa uongo.
Wishful thoughts, hizoooo. lol. Eti Yesu na Muhammad wote ni wamoja. lol. huna haya we. Hata korani yako inakupinga.
Koran yako inadai kuwa Yesu yupo hai na atakuja kuhukumu dunia, na kamwe haisemi kuwa Mwamedi si Marehemu na Mwamedi atakuja tena, zaidi ya Mwamedi kukiri kuwa hajuwi allah wake atamfanya nini siku ya kihama. Kwanini nifuate mtume asiye juwa hata mwisho wake?
Koran yako inasema kuwa Yesu alizaliwa kwa nguvu ya Roho Mtakatifu na kamwe haisemi hivyo kwa Mwamedi mtume wako feki, ambaye alionyesha kupagawa akili tokea utoto wake.
Kumbe hata KORANI YAKO HUIJUWI.
Ndio maana Mtume wenu Mwamadi aliitwa madman. Kwasababu si lolote wala chochote.
Fungua new thread au mada kuhusiana na hayo unayo yadai ili watu wachangie.
Mada hapa ni Kiboko cha waisrael.
Msianze kupindisha mada kama kawaida yenu.
Hahaha ahaha ahah,
Naona juisi ya pilipili imekuzidi ukali. Nilitegemea ungemwambie ndugu wa jina lako mchungajimakini hayo. lol
Nilifikiri utafungua thread mpya kumbe unandandia bado hii hii ... mwalimu vipi!?