Kiboko cha waisrael?

Unajua Ustadh Gamba la Nyoka, hizi habari unazoleta hapa kwa lugha ya kitaalamu ndo tunaita wishful thinking..Hivi ktk maisha yako umeona wapi watu wanaanika paa kwanza halafu wanajenga msingi baadaye?

duh! yaani hivi kumbe maneno "wishful thinking" ni lugha ya ya kitaalamu!!, kama hivi ndo hali ilivyo basi no wonder ni vigumu kuelewana.
 
all those demonic organisation and countries, will never defeat israel. God will rescue Israel. God almighty is the one who will punish all Jewish enemies, and we shall see it by our own naked eyes. ndio maana israel hata hawaogopi. nyie msomjua Mungu wa israel ndo mnahangaika kupiga kampeni hizo, ila sisi tunayemjua Mungu wa israel ambaye sisi wakristo tunamwabudu, hatuteteleki, tunajua Mungu anao uwezo kupita maelezo. God bless Israel and all Jews on earth.
 
Jesus said to them, "Have you never read in the Scriptures:
"The stone the builders rejected
has become the capstone;
the Lord has done this,
and it is marvelous in our eyes'?


"Therefore I tell you that the kingdom of God
will be taken away from you
and given to a people who will produce its fruit.
He who falls on this stone will be broken to pieces,
but he on whom it falls will be crushed."
Mat 21:42-43
 
Mode naomba uifute hii thread kwani lengo langu lilikuwa kuzungumza matatizo ya dunia sikutegemea kuwa itatumika kuibuwa ufisadi wa watu kwa imani za wenzao. Naomba uifute kwani nahisi napokea dhambi nisizozitarajia.
 
Mode naomba uifute hii thread kwani lengo langu lilikuwa kuzungumza matatizo ya dunia sikutegemea kuwa itatumika kuibuwa ufisadi wa watu kwa imani za wenzao. Naomba uifute kwani nahisi napokea dhambi nisizozitarajia.
Ngekewa,
katika JF usiogope hoja mbadala japo wengine huchangia kwa kufuja tu, na wengine husema mambo wasiyokuwa na elimu nayo, sasa wewe jumuika na wanajamii wenzako na uwe mvumilivu vilevile. Iache iendelee ww toa hoja tu.
 
duh! yaani hivi kumbe maneno "wishful thinking" ni lugha ya ya kitaalamu!!, kama hivi ndo hali ilivyo basi no wonder ni vigumu kuelewana.

Ok ninachokiona hapa ni kuwa WEWE NDIYE HUELEWI.

Yaani wewe ktk uzima wa akili yako unataka kutuaminisha kuwa unaweza kutengeza semitrela kwa siku moja ila bajaj kwa mwaka mzima? kha ! wapi logic?

Aliyeandika Koran ni wazi alikuwa akiishi pangoni na wala hamjui Mungu na katu hakuwahi kutumwa naye wala Jibril. Hakuna asiyejua ya baadhi ya milima inavyofanyika. Kuna milima imbayo imesababishwa na matetemeko(tectonix) na imethibitishwa kitaalamu. Lakini yours truly aliyeandika Koran kwa kuwa alikuwa akiishi pangoni hakuwahi kulifikiria hili maana upeo wake unaishia pale macho yake yalipoishia.Waungwana wasema masikio hayazidi kichwa, yakizidi ujue kuna tatizo.

Nimekuuliza the most simplified question, umeona wapi watu wanaanza kujenga paa halafa baadae msingi..umechomoa maana unajua swali litakalofuata. Hata kama milima ingekuwa inajengwa kama mwandishi wa Koran anavyonadi, huwezi kujenga mlima pasi na kukamilisha sehemu huo mlima utakapoketi kitako (lol). Critical path inakataa. Au kwako ni rahisi kuanza kuketi halafu badae ndo waweka kigoda chini yako...:D :D

Ktk Islamic literature ingine kuna sehemu mwandishi anasema eti milima inasababisha stability. Siwezi kumlaumu waandishi hawa maana mwengine eti alidai kuliona jua likichwa kwenye matope.
 

First I feel it is very imperative to know this guy called Marehemu Muhammad, a founder of Islam sharia cult.

Hereunder we will see why Marehemu Muhammad a prophet of islam lied and allowed Islams to tell lies, ad infinitum.

Exhibit 1
Ishaq:365/Tabari VII:94 “Muhammad bin Maslamah said, ‘O Messenger, we shall have to tell lies.’ ‘Say what you like,’ Muhammad replied. ‘You are absolved, free to say whatever you must.’”

Exhibit 2
Ishaq:519 “Hajjaj said to the Apostle, ‘I have money scattered among the Meccan merchants, so give me permission to go and get it.’ Having got Muhammad’s permission, he said, ‘I must tell lies.’ The Apostle said, ‘Tell them.’”

Exhibit 3
Ishaq:567 “Muhammad informed Umar [the second Caliph], and he called the Prophet a liar.”

Je, ni kweli Marehemu Muhammad alikuwa Mtume? Mbona anaruhusu uongo katika uislam?

Islam is full of lies, that is why I always say that KORAN imejaa SHAKA. If the foundation of Islam is based on lies, how could someone beleive even one ayat in the Quran?
 


Exhibit 1
Ishaq:365/Tabari VII:94 “Muhammad bin Maslamah said, ‘O Messenger, we shall have to tell lies.’ ‘Say what you like,’ Muhammad replied. ‘You are absolved, free to say whatever you must.’”


Muhammad ibn Maslama huyu ndiye alikuwa bloodthirsty henchman wa Muhammad. You peeps can goggle and read about this satan incarnate.
 
Ok ninachokiona hapa ni kuwa WEWE NDIYE HUELEWI.

Yaani wewe ktk uzima wa akili yako unataka kutuaminisha kuwa unaweza kutengeza semitrela kwa siku moja ila bajaj kwa mwaka mzima? kha ! wapi logic?

Aliyeandika Koran ni wazi alikuwa akiishi pangoni na wala hamjui Mungu na katu hakuwahi kutumwa naye wala Jibril. Hakuna asiyejua ya baadhi ya milima inavyofanyika. Kuna milima imbayo imesababishwa na matetemeko(tectonix) na imethibitishwa kitaalamu. Lakini yours truly aliyeandika Koran kwa kuwa alikuwa akiishi pangoni hakuwahi kulifikiria hili maana upeo wake unaishia pale macho yake yalipoishia.Waungwana wasema masikio hayazidi kichwa, yakizidi ujue kuna tatizo.

Nimekuuliza the most simplified question, umeona wapi watu wanaanza kujenga paa halafa baadae msingi..umechomoa maana unajua swali litakalofuata. Hata kama milima ingekuwa inajengwa kama mwandishi wa Koran anavyonadi, huwezi kujenga mlima pasi na kukamilisha sehemu huo mlima utakapoketi kitako (lol). Critical path inakataa. Au kwako ni rahisi kuanza kuketi halafu badae ndo waweka kigoda chini yako...:D :D

Ktk Islamic literature ingine kuna sehemu mwandishi anasema eti milima inasababisha stability. Siwezi kumlaumu waandishi hawa maana mwengine eti alidai kuliona jua likichwa kwenye matope.

duhh inaonyesha jamaa ufahamu uwezo wa mwenyezi mungu, wanadamu wanaishi kwa mazoea tu ndo maana unaona huo mfano wako ni mgumu kutekelezeka, ila kama tungeumbwa vigoda vikae kichwani sie tukae chini ungeona pia ni miujiza kigoda kukaa chini kisha ukikalie, kama alivyo punda akimbeba mwanadamu sawa lakini ukimbeba punda miujiza,ingekua tumeumbiwe kumbeba punda ingekua sio miujiza,chukulia mfano wa musa alivyoigawa bahari alivyokua na wana wa israel, wewe unadhani kuna mtu anaweza tekeleza katika ulimwengu huu,akili ya mwanadamu ina kikomo kama yalivyo macho yana mpaka/mwisho wa kuona ,hata masikio pia ndo maana mawimbi ya radio hatuwezi ya kamata mpaka tutumie vifaa vya kunasa hayo mawimbi, ndugu yangu mwisho wa kufikiri kwako sio mwisho wa matendo ya mwenyezi mungu.
 
duhh inaonyesha jamaa ufahamu uwezo wa mwenyezi mungu, wanadamu wanaishi kwa mazoea tu ndo maana unaona huo mfano wako ni mgumu kutekelezeka, ila kama tungeumbwa vigoda vikae kichwani sie tukae chini ungeona pia ni miujiza kigoda kukaa chini kisha ukikalie, kama alivyo punda akimbeba mwanadamu sawa lakini ukimbeba punda miujiza,ingekua tumeumbiwe kumbeba punda ingekua sio miujiza,chukulia mfano wa musa alivyoigawa bahari alivyokua na wana wa israel, wewe unadhani kuna mtu anaweza tekeleza katika ulimwengu huu,akili ya mwanadamu ina kikomo kama yalivyo macho yana mpaka/mwisho wa kuona ,hata masikio pia ndo maana mawimbi ya radio hatuwezi ya kamata mpaka tutumie vifaa vya kunasa hayo mawimbi, ndugu yangu mwisho wa kufikiri kwako sio mwisho wa matendo ya mwenyezi mungu.
Concept kuwa maneno ya Koran ni ya Mungu unaipata wapi? Una ushahidi? Koran ni ya Mwamedi na wapambe wake. Walikuwa wanaweka maono yao humo na wakati mwengine walikuwa hadi wanajistukia. Na ndio maana walikuwa wakijinadi kwa kutumia UWINGI.. Sasa ili kurahisisha mjadala, lete uthibitisho ya kuwa Koran ni kitabu cha Mungu ..utakuwa umetatua utata mkubwa sana. Ila kama unajua huna ushahidi kaa kimya tu, maana hutokuwa wa kwanza kushindwa hili swali.
 
Concept kuwa maneno ya Koran ni ya Mungu unaipata wapi? Una ushahidi? Koran ni ya Mwamedi na wapambe wake. Walikuwa wanaweka maono yao humo na wakati mwengine walikuwa hadi wanajistukia. Na ndio maana walikuwa wakijinadi kwa kutumia UWINGI.. Sasa ili kurahisisha mjadala, lete uthibitisho ya kuwa Koran ni kitabu cha Mungu ..utakuwa umetatua utata mkubwa sana. Ila kama unajua huna ushahidi kaa kimya tu, maana hutokuwa wa kwanza kushindwa hili swali.

Ila haya hapa chini ndio maneno ya mungu!?


Lev 11:20-21: "All fowls that creep, going upon all four, shall be an abomination unto you."

Fowl do not go upon all four.

Lev 11:6: "And the hare, because he cheweth the cud..."

Hare do not chew the cud.

Deut 14:7: "...as the camel, and the hare, and the coney: for they chew the cud, but divide not the hoof."

For the hare this is wrong on both counts: Hare don’t chew the cud and they do divide the "hoof."

Jonah 1:17 says, "...Jonah was in the belly of the fish three days and three nights"

Matt 12:40 says "...Jonas was three days and three nights in the whale's belly..."

whales and fish are not related

Matt 13:31-32: " "the kingdom of heaven is like to a grain of mustard seed which…is the least of all seeds, but when it is grown is the greatest among herbs and becometh a tree."

There are 2 significant errors here: first, there are many smaller seeds, like the orchid seed; and second, mustard plants don't grow into trees.


Matt 4:8: " Again, the devil taketh him up into an exceeding high mountain, and sheweth him all the kingdoms of the world, and the glory of them."

Unless the world is flat, altitude simply will not help you see all the kingdoms of the earth.

Hila hii hapa chini kiboko:

Ndipo Yoshua akanena... akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
Yoshua 10:12-13
 
Huyu mnafiki tu, anaongelea slavery ilivyochukua watu Europe na America hata hajataja watu waliochukuliwa kupelekwa Uarabuni? Tena na kuhasiwa kabisa wasizae?
 

Ila haya hapa chini ndio maneno ya mungu!?


Lev 11:20-21: "All fowls that creep, going upon all four, shall be an abomination unto you."

Fowl do not go upon all four.

Lev 11:6: "And the hare, because he cheweth the cud..."

Hare do not chew the cud.

Deut 14:7: "...as the camel, and the hare, and the coney: for they chew the cud, but divide not the hoof."

For the hare this is wrong on both counts: Hare don’t chew the cud and they do divide the "hoof."

Jonah 1:17 says, "...Jonah was in the belly of the fish three days and three nights"

Matt 12:40 says "...Jonas was three days and three nights in the whale's belly..."

whales and fish are not related

Matt 13:31-32: " "the kingdom of heaven is like to a grain of mustard seed which…is the least of all seeds, but when it is grown is the greatest among herbs and becometh a tree."

There are 2 significant errors here: first, there are many smaller seeds, like the orchid seed; and second, mustard plants don't grow into trees.


Matt 4:8: " Again, the devil taketh him up into an exceeding high mountain, and sheweth him all the kingdoms of the world, and the glory of them."

Unless the world is flat, altitude simply will not help you see all the kingdoms of the earth.

Hila hii hapa chini kiboko:

Ndipo Yoshua akanena... akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
Yoshua 10:12-13


Maumivu ya kichwa yanakusumbua. Ni nani msemaji katika hizo verses na kwanini? Endelea kuleta burdani.
 
Concept kuwa maneno ya Koran ni ya Mungu unaipata wapi? Una ushahidi? Koran ni ya Mwamedi na wapambe wake. Walikuwa wanaweka maono yao humo na wakati mwengine walikuwa hadi wanajistukia. Na ndio maana walikuwa wakijinadi kwa kutumia UWINGI.. Sasa ili kurahisisha mjadala, lete uthibitisho ya kuwa Koran ni kitabu cha Mungu ..utakuwa umetatua utata mkubwa sana. Ila kama unajua huna ushahidi kaa kimya tu, maana hutokuwa wa kwanza kushindwa hili swali.

sawa,
1. Qur-an ni kitabu cha Mwenyezi mungu logically, maneno ya mungu hayabadiliki badiliki kama zilivyo katiba za nchi zinavyobadilika kutokana na mazingira(ambazo wametunga wanadamu wenye upungufu wa ukamilifu), na Qur-an tokea ishuke ijafanyiwa badiliko lolote lile kwa ajili ni kitabu cha mwenyezi mungu anayefahamu mambo yaliyopita,yaliyopo na yajayo hivyo Qur-an inaendana na wakati wowote wa maisha ya mwanadamu,na Mwenyezi mungu amehaidi kuilinda mpaka mwisho wa dunia

2.Qur-an ndani yake imebashiri mpaka mambo yanayotokea sasa hivi duniani,mfano jinsi gani mvua inavyojitengeneza, elimu ambayo ndo watu wameanza fundishwa mashuleni zamani walikua wanafahamu mvua zinaletwa kimazingara,zamani kulikua hamna uzazi wa mpango lakini ndani ya Qur-an habari hizi zipo na ndo zinazotokea wakati huu,itakua ni suala la ajabu kwa muhamad kuelezea suala la litakalo tokea vizazi vijavyo ikawa sahihi 100%

3.Qur-an iko katika misingi ya uwazi, haina shaka ndani yake kaka kua muislamu uone raha ya Qur-an(ina tiba,maliwazo na muongozo wa maisha yasiyo na frustruation kila kitu kiko wazi),hakika kama ingekua imetungwa na muhamadi lazima ingekua na mambo mengi yaliyojificha.

4.Qur-an imeshushwa makka,je uhuoni utukufu wa makka duniani,jinsi gani Mwenyezi mungu alivyobariki sehemu iliyoshuka kitabu kitukufu, hujiulizi kwa nini uchumi wa dunia umeshikiliwa na mafuta?
 
Let us read, the ayats from Quran.
Then He turned to the heaven when it was smoke... (Quran, 41:11)
Because the earth and the heavens above (the sun, the moon, stars, planets, galaxies, etc.) have been formed from this same ‘smoke kutokana na Quran,’ I/we conclude that the earth and the heavens were one connected entity. Then out of this homogeneous ‘smoke,’ they formed and separated from each other. Allah has said in the Quran:
Have not those who disbelieved known that the heavens and the earth were one connected entity, then We separated them?... (Quran, 21:30)
Hapa tunasoma kuwa allah aliseparat dunia na mbingu, ikiwa inamaana kuwa zilikuwa kitu kimoja.
41:9 Say (O Muhammad, unto the idolaters): Disbelieve ye verily in Him Who created the earth in two Days, and ascribe ye unto Him rivals ? He (and none else) is the Lord of the Worlds.

Hapa tunasoma kuwa Allah aliumba dunia kwa siku MBILI.

Koran na/au allah wamedanganya na kuto sema ukweli kuhusu uumbaji. Koran imeshindwa kusema ni lini dunia na mbingu ziliumbwa na kwa siku ngapi, na ilichukua muda gani kuzitenganisha. Since Dunia na mbingu zilikuwa kitu kimoja, Koran 21: 30.

Zaidi ya hapo, allah anatumia wingi katika kutenganisha dunia/mbingu. Je, allah alikuwa na msaidizi katika kazi hiyo ya kutenganisha? Koran inadai kuwa allah hana msaidizi, wakati huohuo Koran na/au allah anasema WE separated, Quran 21:30, lol.

HIZI NDIZO SHAKA NDANI YA KORAN.
 
sawa,
1. Qur-an ni kitabu cha Mwenyezi mungu logically, maneno ya mungu hayabadiliki badiliki kama zilivyo katiba za nchi zinavyobadilika kutokana na mazingira(ambazo wametunga wanadamu wenye upungufu wa ukamilifu), na Qur-an tokea ishuke ijafanyiwa badiliko lolote lile kwa ajili ni kitabu cha mwenyezi mungu anayefahamu mambo yaliyopita,yaliyopo na yajayo hivyo Qur-an inaendana na wakati wowote wa maisha ya mwanadamu,na Mwenyezi mungu amehaidi kuilinda mpaka mwisho wa dunia

2.Qur-an ndani yake imebashiri mpaka mambo yanayotokea sasa hivi duniani,mfano jinsi gani mvua inavyojitengeneza, elimu ambayo ndo watu wameanza fundishwa mashuleni zamani walikua wanafahamu mvua zinaletwa kimazingara,zamani kulikua hamna uzazi wa mpango lakini ndani ya Qur-an habari hizi zipo na ndo zinazotokea wakati huu,itakua ni suala la ajabu kwa muhamad kuelezea suala la litakalo tokea vizazi vijavyo ikawa sahihi 100%

3.Qur-an iko katika misingi ya uwazi, haina shaka ndani yake kaka kua muislamu uone raha ya Qur-an(ina tiba,maliwazo na muongozo wa maisha yasiyo na frustruation kila kitu kiko wazi),hakika kama ingekua imetungwa na muhamadi lazima ingekua na mambo mengi yaliyojificha.

4.Qur-an imeshushwa makka,je uhuoni utukufu wa makka duniani,jinsi gani Mwenyezi mungu alivyobariki sehemu iliyoshuka kitabu kitukufu, hujiulizi kwa nini uchumi wa dunia umeshikiliwa na mafuta?

Pure mashudu + samadi,

Nimekuuliza lete ushahidi ya kuwa Koran ni kitabu cha Mungu..sasa ona ulichokileta. Usianze kuleta conclusion kabla ya findings mkuu.

Nilijua tu hii hoja itakushinda.

Pole zako.
 
Hakuna ukweli ndani ya kitabu chenu chenye shaka na kugushi. Poleni sana kwa kufuata huyo jamaa kigeugeu, aliye wapa paukwa pakawa kibao. lol.

Tuhadithie basi wewe hiyo kweli iliyo kwenye kitabu chenu.
 
Back
Top Bottom