NB: SAUTI YAKE NI KAMA YA MWANA JF MMOJA HAPA...GUESS!
hahahaa...Yo Yo si nilisikia ni bubu??
hahahaa...Yo Yo si nilisikia ni bubu??
Yo Yo ...
Hahaha!.. BAGAH una vituko wewe lol...hahahaa...Yo Yo si nilisikia ni bubu??
Mgonjwa unaendeleaje?Ngoja namsubiri Rejao kwanza......
Ni klorokwini bana...atakuja mwenyewe kusibitisha nilichokisema!Kibela ni wewe dogo
vip unamashaka aweza kuwa yeye??au ndo umemtaja kimafumbo sio?ila kweli ile pua inaweza kutoa sauti kama ile!