mimimndo maana napendekeza NATO wakimaloza kwa gadafi waje pia kutuondolea jk na ccm yake....... hatuwataki!!
Huyu maza kammaliza sana Ngeleja! Amedai kwamba Ngeleja amepeleka umeme kwenye vijiji 9 Jimboni Sengerema, vijiji kadhaa Same Magharibi, vijiji kadhaa Siha, nk lakini ameacha kupeleka umeme Same Mashariki na kwa maana hiyo ana upendeleo wa Jimbo lake (Ngeleja), pamoja na majimbo ya mawaziri wenzake! Huwa anakunywa chai na Ngeleja lakini anao uwezo wa kununua chai, anachotaka ni umeme, haungi mkono hoja!Mama Kilango unauaaaa... Ngeleja una roho ya paka.... Naibu speaker mpaka anakuokoa...
uongo!wakati naibu speaker akimkaribisha waziri wa nishati na madini, ametahadharisha kuwa wabunge walioomba kuchangia ni wengi sana hivyo watakaopewa kipaumbele ni wale ambao hawajawahi kuongea kabisa na wale waliowahi kuchangia mara moja tu. Maana yake ni kwamba watu makini kama tundu, mbowe, zitto, mdee n.k hatutawasikia. Labda wangoje kwenye kamatihuu ndio ule utatu usiokuwa mtakatifu niliokuwa naulaani (kiti cha speaker, wabunge wa ccm na serikali). Watasema sana mwisho utasikia naunga mkono hoja asilimia 100
hapa tupo pamojaHapa nilipo nimepiga magoti wabunge hawa wapewe nafasi ya kuchangia see below:
Kama na wewe uko kwenye maombi kama mimi hembu na wewe muweke unayemjua ili Ngeleja leo aone wapinzani wako pale bungeni sio kwakulala bali ni kwa maslahi ya wananchi!
- Mh. Aikaeli Mbowe
- Tundu Lisu
- Halima Mdee
- John Myika
- Msigwa (Mchungaji)
- Godbless Lema
- Zuberi Zito Kabwe.
wakati naibu speaker akimkaribisha waziri wa nishati na madini, ametahadharisha kuwa wabunge walioomba kuchangia ni wengi sana hivyo watakaopewa kipaumbele ni wale ambao hawajawahi kuongea kabisa na wale waliowahi kuchangia mara moja tu. Maana yake ni kwamba watu makini kama tundu, mbowe, zitto, mdee n.k hatutawasikia. Labda wangoje kwenye kamati
huu ndio ule utatu usiokuwa mtakatifu niliokuwa naulaani (kiti cha speaker, wabunge wa ccm na serikali). Watasema sana mwisho utasikia naunga mkono hoja asilimia 100
Mwisho si aliunga mkono hoja? Toa uozo wako upesiii!Dah! Hii ya leo kali mama kamwashia moto Ngeleja mjengoni mpaka Naibu spika Ndugai "shemeji basi inatosha" Burudani kweli mijadala ya waheshiwa wetu
Mwisho si aliunga mkono hoja? Toa uozo wako upesiii!
amesema haungi mkono hoja jamani kha,Mwisho si aliunga mkono hoja? Toa uozo wako upesiii!
Alishasema hatajiuzulu na mkubwa wake wa kazi akamtetea...........kwamba tatizo sio ngeleja tatizo ni ukame....
Watanzania tuendelee kuwa makini ipo siku tutaweza kufanya tukio la kuustaajabisha ulimwengu na utakuwa mwanzo mzuri wa maendeleo yetu
Mwisho si aliunga mkono hoja? Toa uozo wako upesiii!