Kibanga Ampiga Mkoloni mnakumbuka?

Enzi hizo elimu ya msingi ilikuwepo na vijimambo vyake!

Tujikumbushe kwa Upande wa vitabu vya Kiswahili, hasa huko nako ilikuwa burudani tupu. Stori kama KIBANGA AMPIGA MKOLONI, SIZITAKI MBICHI HIZI,SIKU YA GULIO KATERERO, BENDERA YA TANZANIA, ANDUNJE (mtoto mdadisi), NGANENEPA ANG'ATWA NA NYOKA, AHADI KUMI ZA MWANA TANU na nyingine nyingi zote ilikuwa burudani tupu.
Kweli wakati ule mtaala ulikuwa umetulia, kwa sasa hivi sifahamu mitaala ikoje lakini nakiri mtaala katika somo la kiswahili, ulikuwa umetulia.
Nimalizie kwa beti ninazozikumbuka (japo sizikumbuki vizuri sana) kutoka katika shairi la sizitaki mbichi hizi
Hadithi inayokuja, ni ya sungura sikia
hadithi uliyongoja leo ninakuletea
Alitoka siku moja njaa aliposikia
njaa aliposikia sungura nakuambia

Siku hiyo akaenda porini kutembelea
akayaona matunda mtini yameenea
sungura akayapenda mtini akasogea
Mtini akasogea sungura nakuambia

Sizitaki mbichi hizi, sungura akagumia
naona nafanya kazi bila faida kujua

yakamtoka machozi matunda akalilia
Matunda akalilia Sungura nakuambia

Msifanye utani wakuu, kile Kiswahili tulichosoma sie enzi hizo kilikuwa kimetulia sana! Siyo sasa, wanetu hawajui tofauti ya "ndiyo" na "ndio" au "Hapa" na "apa" ama "Hicho" na "hiko". Yaani hapa ninoma

Kwanza madarasa yale ya mwanzo kulikuwa na vitabu murua sana, kama kile cha Paulo na Selina (darasa la pili), Kuna hadithi za Kinango na Nzige, Heri Mimi sijasema na kadhalika. Ukija darasa la tatu ndio unakutana na akina Andunje, Nondo Mla watu, Twende Tukawinde, Jogoo Aliyesema (hadithi ya Pazi) na Sadiki na Sikiri.
 
SHAIRI LA SADIKI NA SIKIRI
Sikiri mimi masikini
Uvivu wangu nyumbani
Ukiwa huu wa njiani Nakufa hapa kwanini?
Sadiki sasa ashiba
Chakula kingi kwa baba
Nirudi tena kwa baba
Nakufa hapa kwanini?
 
Ukija DARASA LA NNEndio unakutana na Kibanga Ampiga Mkoloni, Ndoto ya Kimweri (Chifu wa Wasambaa), Mkwawa Shujaa, Barua kwa Mjomba Mndolwa na Siku ya Gulio Katerero (Hadithi ya Kiiza).
Shairi la kitabu hiki linaanza hivi:

KAMA MNATAKA MALI

Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali
Wakataka na kauli iwafae maishani

Akatamka mgonjwa, ninaumwa kweli kweli
Hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali
Roho naona yachinjwa, Kifo kimenikabili
Kama mnataka mali, mtayapata shambani
DARASA LA TANO napo kulikuwa na mahanjamu yake. Nakumbuka hadithi kama ile ya 'Safari Yenye Mkosi', Vijana Wapiga Kambi Ngulwi, Ukakamavu, Kapulya Mdadisi, na kadhalika.

SHAIRI LA KITABI HIKI LINAANZA HIVI
Tumeizika elimu, elimu ya kizamani
Elimu ile haramu, maana ya kikoloni
Imetuishia hamu, kuiga ya ugenini
Elimu yetu ya sasa yawafaa wananchi

Kitabu cha Kiswahili cha DARASA LA SITA sikikumbuki vizuri, tulikuwa na mwalimu bomu sana ila nitajitahidi kukumbuka, nadhani kulikuwa na mada moja inahusu 'walowezi'.

Kwa upande wa DARASA LA SABA mambo yalikuwa poa sana. Kulikuwa na mada kama Chuo Kikuu, Brown Ashika Tama, Jiji la Dar Es Salaam nk. Kulikuwa na mashairi mawili katika kitabu hiki, moja linaanza hivi:

Ninaye ndege mzuri, mrembo wa Kupendeza

Rangi zake mashuhuri, ni nne nawaeleza
Ndizo rangi za fahari, urembo kuutimiza
Ndege huyu ndege gani, hapa Kwetu Tanzania?
 
Ukija DARASA LA NNEndio unakutana na Kibanga Ampiga Mkoloni, Ndoto ya Kimweri (Chifu wa Wasambaa), Mkwawa Shujaa, Barua kwa Mjomba Mndolwa na Siku ya Gulio Katerero (Hadithi ya Kiiza).
Shairi la kitabu hiki linaanza hivi:

KAMA MNATAKA MALI
Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali
Wakataka na kauli iwafae maishani

Akatamka mgonjwa, ninaumwa kweli kweli
Hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali
Roho naona yachinjwa, Kifo kimenikabili
Kama mnataka mali, mtayapata shambani DARASA LA TANO napo kulikuwa na mahanjamu yake. Nakumbuka hadithi kama ile ya 'Safari Yenye Mkosi', Vijana Wapiga Kambi Ngulwi, Ukakamavu, Kapulya Mdadisi, na kadhalika.

SHAIRI LA KITABI HIKI LINAANZA HIVI
Tumeizika elimu, elimu ya kizamani
Elimu ile haramu, maana ya kikoloni
Imetuishia hamu, kuiga ya ugenini
Elimu yetu ya sasa yawafaa wananchi

Kitabu cha Kiswahili cha DARASA LA SITA sikikumbuki vizuri, tulikuwa na mwalimu bomu sana ila nitajitahidi kukumbuka, nadhani kulikuwa na mada moja inahusu 'walowezi'.
Kwa upande wa DARASA LA SABA mambo yalikuwa poa sana. Kulikuwa na mada kama Chuo Kikuu, Brown Ashika Tama, Jiji la Dar Es Salaam nk. Kulikuwa na mashairi mawili katika kitabu hiki, moja linaanza hivi:

Ninaye ndege mzuri, mrembo wa Kupendeza
Rangi zake mashuhuri, ni nne nawaeleza
Ndizo rangi za fahari, urembo kuutimiza
Ndege huyu ndege gani, hapa Kwetu Tanzania?

Darasa la Saba Kiingeleza

Kalagesye ....
ale ale ale ale - kana ka nzungu omweruu

Lena and is urgly sisters ..
"Lena lena lena, are you still alive? lena lena lena are you still alive??
Lena anajibu akiwa shimoni walipomtumbukiza
" I'm still alive you my cousin my friends...i'm waiting waiting for my birthday....

Darasa la Kwanza - Manenge na Mandawa

Manange:- Tumbo niachie - nimwekee mandawa chakula -- huku anakula
hadi tumbo likapasuka - that day nikaogopa kula sana home - utoto bwana.

Mi tangu darasa la nne nilikuwa time keeper wa shule - kutembea na saa kubwa ya ukutani miaka hiyo ujiko so wa kawaida.
wanafunzi wakiniona tu nakuja - hao wanajipanga number ---- moja,mbili tatu ,..... etc ha ha ha ha
 
Ukija DARASA LA NNEndio unakutana na Kibanga Ampiga Mkoloni, Ndoto ya Kimweri (Chifu wa Wasambaa), Mkwawa Shujaa, Barua kwa Mjomba Mndolwa na Siku ya Gulio Katerero (Hadithi ya Kiiza).
Shairi la kitabu hiki linaanza hivi:

KAMA MNATAKA MALI

Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali
Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili
Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali
Wakataka na kauli iwafae maishani

Akatamka mgonjwa, ninaumwa kweli kweli
Hata kama nikichanjwa, haitoki homa kali
Roho naona yachinjwa, Kifo kimenikabili
Kama mnataka mali, mtayapata shambani
DARASA LA TANO napo kulikuwa na mahanjamu yake. Nakumbuka hadithi kama ile ya 'Safari Yenye Mkosi', Vijana Wapiga Kambi Ngulwi, Ukakamavu, Kapulya Mdadisi, na kadhalika.

SHAIRI LA KITABI HIKI LINAANZA HIVI
Tumeizika elimu, elimu ya kizamani
Elimu ile haramu, maana ya kikoloni
Imetuishia hamu, kuiga ya ugenini
Elimu yetu ya sasa yawafaa wananchi

Kitabu cha Kiswahili cha DARASA LA SITA sikikumbuki vizuri, tulikuwa na mwalimu bomu sana ila nitajitahidi kukumbuka, nadhani kulikuwa na mada moja inahusu 'walowezi'.

Kwa upande wa DARASA LA SABA mambo yalikuwa poa sana. Kulikuwa na mada kama Chuo Kikuu, Brown Ashika Tama, Jiji la Dar Es Salaam nk. Kulikuwa na mashairi mawili katika kitabu hiki, moja linaanza hivi:

Ninaye ndege mzuri, mrembo wa Kupendeza

Rangi zake mashuhuri, ni nne nawaeleza
Ndizo rangi za fahari, urembo kuutimiza
Ndege huyu ndege gani, hapa Kwetu Tanzania?

ThinkPad,
Najua hii kazi umeikata kule kwenye ile thread nyingine.
Nadhani mods wangeziunganisha.
 
Sizitaki mbichi hizi

Bujiku - unanikumbusha unajua wakati ule (primary) ukipekeka barua kwa msichana akiikataa - then wanakuja kundi la girls na boys kukusuta -basi we unakataa - hapo unapewa jina "sizitaki mbichi hizi" ---utatamani kuacha shule kwa aibu.
 
ThinkPad,
Najua hii kazi umeikata kule kwenye ile thread nyingine.
Nadhani mods wangeziunganisha.

Wapi tena ndugu yangu mbona sijaona thread yenye jina "nyingine"
Nadhani mamod wapo kazini wataziunganisha lkn hiyo nyingine haipo.

 
ThinkPad,
Najua hii kazi umeikata kule kwenye ile thread nyingine.
Nadhani mods wangeziunganisha.

.....Idimi many many thanks, I have done an audit trail and discovered where you are coming from! Watu tunatisha aisee tunadesa mpaka JF duuuuuh! Imebidi ning'oe senks zangu pale kwa jamaa.......! maana kacut na kupaste hapa.....!
 
Wapi tena ndugu yangu mbona sijaona thread yenye jina "nyingine"
Nadhani mamod wapo kazini wataziunganisha lkn hiyo nyingine haipo.


.....daaah mkuu unazuga tena? Just tell them ulitaka na wengine wapate uhondo hapa pia, ila ulichokosea hukuacknoledge source!

Zile post zako mbili hapo mwanzo ulicopy hapa -https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/7335-tulipokuwa-primary-unakumbuka.html Idimi na Gamba la Nyoka ndio walioweka ile michango huku.......! mzee this is JF!
 
Wapi tena ndugu yangu mbona sijaona thread yenye jina "nyingine"
Nadhani mamod wapo kazini wataziunganisha lkn hiyo nyingine haipo.


Hayo maneno yaliyo katika rangi ya bluu katika posti yako hapo uliyatoa kwenye ile thread nyingine ambayo Next Level ameiweka hapo juu. Ushahidi huu hapa. Hatukatai kukopi habari, kinachotakiwea ni ku-acknowledge chanzo tu.
 
kula mno ni hasara,
karudi baba mmoja toka safari ya mbali
kavimba yote mapaja na kuteteme mwili
watoto wake wakaja ili kumtaka hali ...

......wakataka na shauri liwafae maishani, kwa kweli ilikuwa ni raha, ona jinsi wote kwa pamoja tunavyokumbaka hali hiyo, yote hii ni faida ya kitabu KIMOJA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom