funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Jamani juzi nilituma hela kwa mfumo wa simu, sasa katika kutuma kuna fomu nikajaza namba yangu na ninayemtumia. Kuna demu alikuwepo hapo aka-note ile namba, baada ya kutoka akanipigia kulikuwa na makosa flani hivi, sasa toka hapo kila siku anani-text na msg za ajabu ajabu nyingine za kidini nyingine za maisha ila anatuma kila siku.
Hivi hawa mademu wa kwenye vibanda vya simu wako pale kutega mabwana au vipi? mimi sijamjibu hata siku moja ila nadhani kuna kitu anatafuta
Hivi hawa mademu wa kwenye vibanda vya simu wako pale kutega mabwana au vipi? mimi sijamjibu hata siku moja ila nadhani kuna kitu anatafuta