NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,960
- 2,938
Wakuu naomba mnijuze kibamba na jukwaa lake la katiba amechaguliwa na nani? na anawakilisha nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni nabii mpakwa mafuta wa BWANA
Wakuu naomba mnijuze kibamba na jukwaa lake la katiba amechaguliwa na nani? na anawakilisha nani?
He! si mwanaume huyo anapakwa mafuta wapi?
Nami naomba NZURI PESA anijuze kwani D. Kibamba alitakiwa kuchagiliwa na nani? na alitakiwa kumwakilisha nani?
Halafu pia NZURI PESA anijuze, Mku wa Chuo cha DSM, Mkuu wa Chuo cha Dodoma, na wakuu wa vyuo vungine vya Umma huchaguliwa na nani? huwawakilisha watu gani?
kifuani
wakuu naomba mnijuze kibamba na jukwaa lake la katiba amechaguliwa na nani? Na anawakilisha nani?
We si ndo ULIFELI MTIHANI kwa kushindwa kufuata maelekezo.Nimesha kupata mkuu.