newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Niliwahi kusikia ktk radio hotuba/interview ya Muheshimiwa mmoja. kuwa Manispaa ya kinondoni kuwa kuna ramani zinauzwa Elfu 50,000/- (2009).
nataka kujua ukinunua hii ramani unahitaji kuomba kibali cha ujenzi?na kulipia kikao ili ramani yako ipitishwe
na madiwani?
Je ramani za nyumba ya ghorofa moja ya vyumba 3 kwa matumizi ya familia zipo ktk halmashaauri zetu
wataalam naomba maoni yanu.
nataka kujua ukinunua hii ramani unahitaji kuomba kibali cha ujenzi?na kulipia kikao ili ramani yako ipitishwe
na madiwani?
Je ramani za nyumba ya ghorofa moja ya vyumba 3 kwa matumizi ya familia zipo ktk halmashaauri zetu
wataalam naomba maoni yanu.