Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Kibaka akieleza mambo aliyoyakuta kwenye pochi ya mwalimu aliyoikwapua. <1>majina ya wapiga kelele darasani. <2>vipeperushi vya migomo. <3>marking scheme. <4>jumla ya madeni anayodaiwa. <5>andalio la somo. <6>majina ya watoto waliowahi namba .<7>sh.500 ya nauli. <8>majina ya waliokopo bagia na kashata.Kibaka aliapa hatarudia kumpora mwalimu!