Kibaka ajuta

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Kibaka akieleza mambo aliyoyakuta kwenye pochi ya mwalimu aliyoikwapua. <1>majina ya wapiga kelele darasani. <2>vipeperushi vya migomo. <3>marking scheme. <4>jumla ya madeni anayodaiwa. <5>andalio la somo. <6>majina ya watoto waliowahi namba .<7>sh.500 ya nauli. <8>majina ya waliokopo bagia na kashata.Kibaka aliapa hatarudia kumpora mwalimu!
 
Kibaka akieleza mambo aliyoyakuta kwenye pochi ya mwalimu aliyoikwapua. <1>majina ya wapiga kelele darasani. <2>vipeperushi vya migomo. <3>marking scheme. <4>jumla ya madeni anayodaiwa. <5>andalio la somo. <6>majina ya watoto waliowahi namba .<7>sh.500 ya nauli. <8>majina ya waliokopo bagia na kashata.Kibaka aliapa hatarudia kumpora mwalimu!
]
Hakukuta kadi ya NMB???
 
Kweli nimechoka siku imeharibika waalimu tunateseka sana mno yaani acha tu
 
Kibaka akieleza mambo aliyoyakuta kwenye pochi ya mwalimu aliyoikwapua. <1>majina ya wapiga kelele darasani. <2>vipeperushi vya migomo. <3>marking scheme. <4>jumla ya madeni anayodaiwa. <5>andalio la somo. <6>majina ya watoto waliowahi namba .<7>sh.500 ya nauli. <8>majina ya waliokopo bagia na kashata.Kibaka aliapa hatarudia kumpora mwalimu!

Tafadhari mrudishie madam mkoba wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom