Elections 2010 kiasi fulani naanza kushawishika dr.migiro anajipanga kwa urais

una uhuru na ni haki yako kupendekeza. Ila usisahau pendekezo lako kulisupplement na ombi kwa Muumba wako asitoe kibali cha kubadilisha tume ya uchaguzi iliyopo vinginevyo kutakuwa na vilio na usagaji wa meno.
 
Back
Top Bottom