Kiapo kwa kutumia vitabu vya dini ni sawa?

kabindi

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
333
120
Serikali si haina dini? kwa nini kiongozi kama rais anapewa kiapo akiwa ameshika aidha Biblia au Qu-ran? kwani akikosea wakati wa utawala wake ataambiwa amekiuka misingi ya dini yake aliyoapishwa? kwa nini tusiishie KATIBA tu?! mimi nashindwa kuelewa!
 
Serikali haina dini ila wananchi wake wana dini ndo mana wanaapishwa kwa kutumia vitabu vyadini zao-akikosea ataambiwa amekiuka misingi ya katiba mana ndo governing body kwa viongoz wote regardless dini zao
 
Ni utata mwingine huo, kama serikali haina dini basi viongozi wangetakiwa kuapa kwa kutumia katiba.
 
Serikali haina dini ila wananchi wake wana dini ndo mana wanaapishwa kwa kutumia vitabu vyadini zao-akikosea ataambiwa amekiuka misingi ya katiba mana ndo governing body kwa viongoz wote regardless dini zao

straight and clear. Big up
 
Serikali haiongozwi kwa kutumia dini yoyote. Inaongozwa kwa kutumia katiba. Kwa hiyo si sahihi kwa kiongozi kuapa kwa kutumia misahafu ya dini zao. Na kwa wale viongozi wakristo wao ndo wanachemsha kabisa kuapa kwa Biblia!!! (Mt. 5:33 - 37)

33 ¶ Again, you have knowledge that it was said in old times, Do not take false oaths, but give effect to your oaths to the Lord: 34 But I say to you, Take no oaths at all: not by the heaven, because it is the seat of God; 35 Or by the earth, because it is the resting-place for his foot; or by Jerusalem, because it is the town of the great King. 36 You may not take an oath by your head, because you are not able to make one hair white or black. 37 But let your words be simply, Yes or No: and whatever is more than these is of the Evil One.
 
Back
Top Bottom