Tutor B JF-Expert Member Jun 11, 2011 9,025 6,554 Apr 20, 2012 #1 Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa "Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko". Majority ya wana CCM ni wala rushwa, ni waongo na fitina kwao ni jadi. Mnasemaje wenzangu?
Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa "Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko". Majority ya wana CCM ni wala rushwa, ni waongo na fitina kwao ni jadi. Mnasemaje wenzangu?
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 Apr 20, 2012 #3 Kiapo mdomoni rushwa moyoni
Tutor B JF-Expert Member Jun 11, 2011 9,025 6,554 Apr 20, 2012 Thread starter #4 GWANKAJA GWAKILINGO said: Kiapo mdomoni rushwa moyoni Click to expand... Wanafiki wataumbuka kwa kutopiga kura za kumng'oa mnafiki mkubwa.
GWANKAJA GWAKILINGO said: Kiapo mdomoni rushwa moyoni Click to expand... Wanafiki wataumbuka kwa kutopiga kura za kumng'oa mnafiki mkubwa.
A Abdillah1984 New Member Apr 20, 2012 2 0 Apr 20, 2012 #5 Kiapo hicho hakiendani na hali halisi tuliyo nayo
Tutor B JF-Expert Member Jun 11, 2011 9,025 6,554 Apr 20, 2012 Thread starter #6 Abdillah1984 said: Kiapo hicho hakiendani na hali halisi tuliyo nayo Click to expand... Mkuu kama tumeishajua hilo ni kwa nini tusifanye mkakati wa dhati ili kukifutilia kabisa hiki chama kisichokuwa na maadili?
Abdillah1984 said: Kiapo hicho hakiendani na hali halisi tuliyo nayo Click to expand... Mkuu kama tumeishajua hilo ni kwa nini tusifanye mkakati wa dhati ili kukifutilia kabisa hiki chama kisichokuwa na maadili?