Wengi wetu tumewahi kusikia kiapo cha TZ kinachotumika na Mawaziri,wabunge n.k.kuna sehemu kinasema "NITAITUMIKIA KWA MOYO WANGU WOTE" Kibadilishwe na kusomeka hivi "NITAITUMIKIA KWA MOYO WANGU WOTE NA KWA KWA AKILI YANGU YOTE"Wengi au baadhi hawatumii akili,itasaidia watu kutumia akili pia katika uutendaji wao..