Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Nilikuwa natafuta maneno ya kiapo cha Rais anachoapa pale anapoapishwa kina maneno gani hasa?
Mzee Mwanakijiji karibu tena we missed u hadi watt wakadhani kuwa Mafisadi wa Dowans wamepita na wewe. Kiapo cha Rais na viongozi wengine kinapatikana kwenye Sheria ya viapo vya viongozi.Nilikuwa natafuta maneno ya kiapo cha Rais anachoapa pale anapoapishwa kina maneno gani hasa?
Ndivyo kilivyo. Walikopi na paste kutoka kwenye Katiba ya kikoloni. Niliwahi kuhoji iweje kiapo hicho hakina option ya ku affirm kama vilivyo viapo vingine.Asante.. kuna mtu kasema ati kiapo kinasema hivi (sehemu yake): Mimi ...................bin..................naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa jamhuri ya muungano wa Tanzania na kwamba nitaahifadhi kuilinda na kuitetea katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ewe mwenyenzi mungu nisaidie.
Ndio maana ameanzisha mchakato kwa lengo la kuhakikisha kuwa Katiba inabaki salama. Mamlaka ya kiutawala ya kufanya hivyo anayo.Nimeuliza hivyo kwa sababu sijui kama kwa yeye peke yake kuamua kuanza mchakato wa kuandika Katiba Mpya kunakubaliana na kiapo cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi Katiba iliyomuiingiza madarakani.
Asante.. kuna mtu kasema ati kiapo kinasema hivi (sehemu yake):
Mimi ...................bin..................naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa jamhuri ya muungano wa Tanzania na kwamba nitaahifadhi kuilinda na kuitetea katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ewe mwenyenzi mungu nisaidie.
Asante.. kuna mtu kasema ati kiapo kinasema hivi (sehemu yake):
Mimi ...................bin..................naapa kwamba nitakuwa mwaminifu kwa jamhuri ya muungano wa Tanzania na kwamba nitaahifadhi kuilinda na kuitetea katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ewe mwenyenzi mungu nisaidie.