Kiapo cha mwanachadema mtiifu

Mr Emmy

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
1,219
550
Kiapo cha Mwanachadema mtiifu kama vile kinasema; Nitakuwa mtiifu kwa uongozi wa chama changu sitahoji mapato na matumizi ya fedha yanayofanywa na uongozi nitajitolea kuwalinda na kuwasafisha viongozi wangu katika kashfa zote ufisadi na ubadhirifu wa ruzuku, misaada ya wageni na michango ya raia kupitia sadaka.

Katika kufuatilia hoja na taarifa mbalimbali zinazohusu uozo wa matumizi ya fedha na madaraka ndani ya chadema nimegundua kuwa wanachama watiifu wa chama hicho hasa wasomi wameapa kutohoji mapato na matumizi ya fedha ya chama hicho na hata kuukosoa uongozi wa chama hicho. Ukitaka kuchukiwa ndani ya CDM jaribu kukiuka hicho kiapo yatakupata makubwa kama yaliyawapata kina flani.
 
Natamani sana kuona siku moja tanzania tunajikita kwenye hoja za maana, na uchambuzi wa sera, mfano chama kinasema nini kuhusu kiwango ya PAYE, au chama Y kinasema nini kuhusu foreign policy, au chama Z kinasema nini kuhusu elimu.

Kuendelea kusoma haya mataputapu hapa ni aibu kwa taifa zima, kwamba miaka 50 ya uhuru bado tuna watu wanafanya propaganda wakati mataifa mengine yanatupita. Kenya wanapiga hatua, Rwanda wanakazana sasa. Tuendokane na hii fedheha.
 
Kiapo cha Mwanachadema mtiifu kama vile kinasema; Nitakuwa mtiifu kwa uongozi wa chama changu sitahoji mapato na matumizi ya fedha yanayofanywa na uongozi nitajitolea kuwalinda na kuwasafisha viongozi wangu katika kashfa zote ufisadi na ubadhirifu wa ruzuku, misaada ya wageni na michango ya raia kupitia sadaka.

Katika kufuatilia hoja na taarifa mbalimbali zinazohusu uozo wa matumizi ya fedha na madaraka ndani ya chadema nimegundua kuwa wanachama watiifu wa chama hicho hasa wasomi wameapa kutohoji mapato na matumizi ya fedha ya chama hicho na hata kuukosoa uongozi wa chama hicho. Ukitaka kuchukiwa ndani ya CDM jaribu kukiuka hicho kiapo yatakupata makubwa kama yaliyawapata kina flani.

Nyie kwenye chama chenu huwa mnahoji matumizi ya chama chenu? Au nyani haoni kundule? N a mkihoji matokeo yake huwa nini? tuambie na sisi tuanze kuhoji.
 
Kila mnavyoongea pumba ndivyo CHADEMA TEGEMEO LA WANYONGE inavyozidi kustawi, pamoja la gazeti lenu la udaku uhuru hamtofanikiwa kamwe zaidi ya kuzidi kuzoofu kwa nyinyiemu yenu. Tafuteni tiba mbadala labda itawafaa.
 
Kiapo cha Mwanachadema mtiifu kama vile kinasema; Nitakuwa mtiifu kwa uongozi wa chama changu sitahoji mapato na matumizi ya fedha yanayofanywa na uongozi nitajitolea kuwalinda na kuwasafisha viongozi wangu katika kashfa zote ufisadi na ubadhirifu wa ruzuku, misaada ya wageni na michango ya raia kupitia sadaka.

Katika kufuatilia hoja na taarifa mbalimbali zinazohusu uozo wa matumizi ya fedha na madaraka ndani ya chadema nimegundua kuwa wanachama watiifu wa chama hicho hasa wasomi wameapa kutohoji mapato na matumizi ya fedha ya chama hicho na hata kuukosoa uongozi wa chama hicho. Ukitaka kuchukiwa ndani ya CDM jaribu kukiuka hicho kiapo yatakupata makubwa kama yaliyawapata kina flani.

Mkuu, this is totally ****.
Unaandika kana kwamba si mwana JF (great thinker).
Ni aina ya udaku (angalia hapo kwenye wekundu, wataje kama unawajua).

Mahesabu ya vyama vyote vya siasa yanakaguliwa.
Kwa upinzani uliopo TZ kwa sasa, CCM ingefurahia sana na kuweka wazi mapungufu yoyote ambayo yangekutwa katika mahesabu ya matumizi ya CDM.

Usiliongopee jamvi hili ati unasema "Katika kufuatilia hoja na taarifa mbalimbali zinazohusu uozo wa matumizi ya fedha na madaraka ndani ya chadema nimegundua kuwa wanachama watiifu wa chama hicho hasa wasomi wameapa kutohoji mapato na matumizi ya fedha ya chama hicho".

Wapi ulikofuatilia? Tuwekee nakala za hizo taarifa zako nasi tuuone hupo uozo unaousema.
Huo wa kwako ni uzushi usio mashiko.
 
Kiapo cha Mwanachadema mtiifu kama vile kinasema; Nitakuwa mtiifu kwa uongozi wa chama changu sitahoji mapato na matumizi ya fedha yanayofanywa na uongozi nitajitolea kuwalinda na kuwasafisha viongozi wangu katika kashfa zote ufisadi na ubadhirifu wa ruzuku, misaada ya wageni na michango ya raia kupitia sadaka.

Katika kufuatilia hoja na taarifa mbalimbali zinazohusu uozo wa matumizi ya fedha na madaraka ndani ya chadema nimegundua kuwa wanachama watiifu wa chama hicho hasa wasomi wameapa kutohoji mapato na matumizi ya fedha ya chama hicho na hata kuukosoa uongozi wa chama hicho. Ukitaka kuchukiwa ndani ya CDM jaribu kukiuka hicho kiapo yatakupata makubwa kama yaliyawapata kina flani.

Huu ni ugonjwa unazidi kuwa tishio na kuambukiza kwa haraka zaidi "ukosefu wa kinga akilini" ukia. dalili zake ni kuandika pumba. wahi hospitali.
 
we bwana usitake kutuingiza kwenye ban wenzako hizo pumba unazotuletea ingekuwa kweli cag angesema m*8*** mkubwa wee
 
We emmy una matatizo gani na CDM kuna post nyingine uliuza sadaka zinakusanywa na Lema na hapa napo utumbo uleule ni fedha ndo inakuuma au? mbona huko magamba mnakula kodi zetu kama mchwa huu mchango wa wachache kwa kazi zinazokubalika na watz unakunyima usingizi! BIG POLE BWANA.
 
Natamani sana kuona siku moja tanzania tunajikita kwenye hoja za maana, na uchambuzi wa sera, mfano chama kinasema nini kuhusu kiwango ya PAYE, au chama Y kinasema nini kuhusu foreign policy, au chama Z kinasema nini kuhusu elimu.

Kuendelea kusoma haya mataputapu hapa ni aibu kwa taifa zima, kwamba miaka 50 ya uhuru bado tuna watu wanafanya propaganda wakati mataifa mengine yanatupita. Kenya wanapiga hatua, Rwanda wanakazana sasa. Tuendokane na hii fedheha.
FJM Mkuu uzalendo uliondoka na sera za azimio la Arusha. Ni vigumu kwa kweli kuamini kuwa mtu anaweza kuanzisha hoja kama hii wakati tunamatatizo lukuki yanayotusumbua !
 
Last edited by a moderator:
Kiapo cha Mwanachadema mtiifu kama vile kinasema; Nitakuwa mtiifu kwa uongozi wa chama changu sitahoji mapato na matumizi ya fedha yanayofanywa na uongozi nitajitolea kuwalinda na kuwasafisha viongozi wangu katika kashfa zote ufisadi na ubadhirifu wa ruzuku, misaada ya wageni na michango ya raia kupitia sadaka.

Katika kufuatilia hoja na taarifa mbalimbali zinazohusu uozo wa matumizi ya fedha na madaraka ndani ya chadema nimegundua kuwa wanachama watiifu wa chama hicho hasa wasomi wameapa kutohoji mapato na matumizi ya fedha ya chama hicho na hata kuukosoa uongozi wa chama hicho. Ukitaka kuchukiwa ndani ya CDM jaribu kukiuka hicho kiapo yatakupata makubwa kama yaliyawapata kina flani.

Mods waunganishe udaku huu na udaku mwingine upo jukwaa la siasa haraf ni multiple ids yani. ANNAEL + EMMY= MJAMBAMAPUTO MMOJA
 
Kiapo cha Mwanachadema mtiifu kama vile kinasema; Nitakuwa mtiifu kwa uongozi wa chama changu sitahoji mapato na matumizi ya fedha yanayofanywa na uongozi nitajitolea kuwalinda na kuwasafisha viongozi wangu katika kashfa zote ufisadi na ubadhirifu wa ruzuku, misaada ya wageni na michango ya raia kupitia sadaka.

Katika kufuatilia hoja na taarifa mbalimbali zinazohusu uozo wa matumizi ya fedha na madaraka ndani ya chadema nimegundua kuwa wanachama watiifu wa chama hicho hasa wasomi wameapa kutohoji mapato na matumizi ya fedha ya chama hicho na hata kuukosoa uongozi wa chama hicho. Ukitaka kuchukiwa ndani ya CDM jaribu kukiuka hicho kiapo yatakupata makubwa kama yaliyawapata kina flani.

Kwa kuwa umezoea kutukanwa hapa jukwaa wala sioni ajabu kuandika utumbo kama huu.
 
Back
Top Bottom