Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
katika ili ntamkumbuka dr slaa,ambaye aliliasisi katika bunge wakati akiwa mbunge,akataja mpaka mshahara wa mbunge,bunge lilipotaka kumwajibisha akawachenga kuwa kataja malipo yale mwenyewe,pia kamanda zitto amesaidia sana kuleta mabadiliko,apa namkumbuka pia mh mbowe kwa kukataa posho pale bungeni na kuziita WIZI WA KITAASISI. Naanza kukubaliana na wengi kuwa sasa cdm inatawala kutokea nje ya ikulu,si katiba,si posho,si mashangingi,bado cdm itawasumbua sana!