"Khatima ya Zanzibar na Mustakbali wa Muungano" - Seif Sharif Hamad

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Rejea ambato. Mjadala unaendelea. 2010 inakaribia.
 

Attachments

  • Muungano Mtazamo wa CUF Seif.doc
    255.5 KB · Views: 566
..siku zote ZNZ wanazungumzia kugawana tu, never kuchangia.

..visingizio anavyovitoa Maalim Seif kuhusu mchango wa ZNZ, or specifically kutokuchangia, ktk masuala ya Muungano vinashangaza sana.

..makala ya Maalim Seif imesheheni maoni na uchambuzi wa wanasheria. sasa binafsi natamani siku zijazo atafute ushauri na maoni ya wataalamu wa fani nyingine kama uchumi na sociology.
 
Rejea ambato. Mjadala unaendelea. 2010 inakaribia.

Maalimu Seif was A Chief minister for many years in Zanzibar. At this time Zanzibar witnessed a high level of social discrimination. Issues related to Education, health and occupation of high Governmental posts were mostly skewed towards Pembas. There has been no moments other than this in Zanzibar history where feelings and self identification of citizens based on u-Pembas and u-Ungujas were at the highest level. Since then risings of "false" Zanzibaris nationalism have been on the increase, threatening the very survival of the two Islands.

Maalimu Seif, as an Intellectual, should by now have turned pemba into an economic powerhouse and a magnet similar to Dubai simply by persuading his fellow Pembas to invest heavily into the Island. The fortune and business own by Pembas in Mainland Tanzania are enough to change water, electricity and social services in the Island into one of the Africas' most modern.

Maalimu Seif, instead, have been going around preaching hatred and divisible politics, among Zanzibaris and Tanzanians at large. Contrary to many peoples' beliefs, Pembas ain't so much educated as it would have been anticipated. A fraction of pembas do. A few can separate husks and grains. Very few! In turn this has been a major constraint in achieve a lasting solutions to political problems created by Maalimu Seif and his accomplices which haunts Zanzibaris of Pemba origin.

Though his age has already overtaken by time, dawns for new Zanzibar are set, it would have been useful for him to leave a legacy that a Nation would remember him. It is never too late, but now he could think of making Zanzibar a better place for its citizens by preaching peace and union.

There won't be a time he can live to witness Tanzania is torn apart. Very fortunate many members within his own party have recognised this. They are just waiting for time to decide. Mungu ibariki Tanzania.
 
Maalimu Seif was A Chief minister for many years in Zanzibar. At this time Zanzibar witnessed a high level of social discrimination. Issues related to Education, health and occupation of high Governmental posts were mostly skewed towards Pembas. There has been no moments other than this in Zanzibar history where feelings and self identification of citizens based on u-Pembas and u-Ungujas were at the highest level. Since then risings of "false" Zanzibaris nationalism have been on the increase, threatening the very survival of the two Islands.

.

Nakubaliana nawe moja kwa moja Bw. Mwanjelwa na uchambuzi wako hapo juu. Maalim Seif ni kweli ana madhambi mengi aliyolifanyia Taifa hili na zaidi wenzake wa Zanzibar. Na la ghasi zaidi ni lile la kupandikiza mbegu za U-pemba na-uunguja. Hili limeathiri sana jamii na naweza kusema limeacha kovu kubwa kwa generation ya hivi sasa licha ya juhudi kubwa zinazofanyika hivi sasa kuondosha kasoro hiyo. Hii inazidishwa na udogo wa pahala penyewe, na muingiliano mkubwa uliopo baina ya watu kutoka sehemu hizo mbili. Huyo ni mtu asiyestahili kuaminiwa tena na jamii katika lolote lile, na sidhani kuwa iko siku atapata fursa ya kuichezea jamii kama alivyofanya hapo mwanzo. Siku zake katika CUF nafikiri zinahesabika sasa. Yuko ukingoni kumalizika. na laiti kama CUF wataondokana naye leo hii, basi utaona wapi chama hicho kinafika katika mstakabala wa kisiasa.
 
Maalimu hana jipya ..anaongea haya tangu 1990's ..na ukiangalia Bara CUF hakuna Wabunge.

Mda wake umepita.. awaachie vijana wenye mawazo na mtizamo mpya!
 
Unao ushahidi kuwa malim seif anachochea uPemba na Unguja au hii ndio njama ya wakoloni wetu wa bara wanataka kututawala daima. kama unaubavu basi jibu huu waraka. sio utuletee porojo. Mpemba aliokuwa hakusoma ni sawa na mbara aliyemaliza darasa la 12.
 
Bro kama maalim atatuwachia sisi vijana basi muungano tunauvyeka siku hiyo hivo waache wakaupeleke huko kanisani sio Zanzibar. hatutaki kutawaliwa tena hapa lazima wazanzibari wajitawale wenyewe tumatawaliwa for so long.
 
Unao ushahidi kuwa malim seif anachochea uPemba na Unguja au hii ndio njama ya wakoloni wetu wa bara wanataka kututawala daima. kama unaubavu basi jibu huu waraka. sio utuletee porojo. Mpemba aliokuwa hakusoma ni sawa na mbara aliyemaliza darasa la 12.
Khaa waraka gani huo? Hizo si porojo za vijiwe vya kahawa tu. Hamna mpya humo. No logic. Halafu unataka awe Kiongozi. Khaa!!! Abadan
 
Unao ushahidi kuwa malim seif anachochea uPemba na Unguja au hii ndio njama ya wakoloni wetu wa bara wanataka kututawala daima. kama unaubavu basi jibu huu waraka. sio utuletee porojo. Mpemba aliokuwa hakusoma ni sawa na mbara aliyemaliza darasa la 12.

Tena kweli. ka jinsi ulivyoaandika hii message yako inaonyesha kweli una shule ya kutosha na m-bara yoyote hakuwezi.

Mnajishusha mno pasi wasi wasi. Hakuna mtu anawatala nyie na hakuna sababu. Nyie hamna uhakika direction yenu. Na hii inatokana na Maalimu Seif kuwakoroga sana. Ndiyo sababu bara tutahakikisha kwanza mnajifahamu nyie ni nani ndiyo tutawaachia. Otherwise, vurugu kasheshe za Somalia zinatosha sana pwani ya Africa mashariki. hatuhitaji wengine kama hao
 
Tena kweli. ka jinsi ulivyoaandika hii message yako inaonyesha kweli una shule ya kutosha na m-bara yoyote hakuwezi.

Mnajishusha mno pasi wasi wasi. Hakuna mtu anawatala nyie na hakuna sababu. Nyie hamna uhakika direction yenu. Na hii inatokana na Maalimu Seif kuwakoroga sana. Ndiyo sababu bara tutahakikisha kwanza mnajifahamu nyie ni nani ndiyo tutawaachia. Otherwise, vurugu kasheshe za Somalia zinatosha sana pwani ya Africa mashariki. hatuhitaji wengine kama hao
Khaa Wewe Mwanjelwaa achana naye huyo. Watanzania wenye asili ya ZANZIBAR ni watu mahiri sana, sio hao wa porojo akina Maalim Seif --unaowasikia. Hana mpya huyo.
 
Umahiri gani mulionawo labda Ujambazi kama kweli munaumahiri musingekufa kwa njaa rasilimali zote mulizonazo lakini njaaaaaaaaaaaaaa tupu niaubu hii inaonesha vichwa maji jiinchi lote hilo lakini munakujakufanya kazi za uboi zanzibar.
 
Bro kama maalim atatuwachia sisi vijana basi muungano tunauvyeka siku hiyo hivo waache wakaupeleke huko kanisani sio Zanzibar. hatutaki kutawaliwa tena hapa lazima wazanzibari wajitawale wenyewe tumatawaliwa for so long.
Kwa kauli yako inaonesha chama cha CUF kimekaa kama cha kidini vile???!! Kwa nini isiwe msikitini au Jamatin??
 
Umahiri gani mulionawo labda Ujambazi kama kweli munaumahiri musingekufa kwa njaa rasilimali zote mulizonazo lakini njaaaaaaaaaaaaaa tupu niaubu hii inaonesha vichwa maji jiinchi lote hilo lakini munakujakufanya kazi za uboi zanzibar.

Ahsante sana kwa kututusi wabara! Karibu tena mzee wa mdebwedo!
 
..siku zote ZNZ wanazungumzia kugawana tu, never kuchangia.
..visingizio anavyovitoa Maalim Seif kuhusu mchango wa ZNZ, or specifically kutokuchangia, ktk masuala ya Muungano vinashangaza sana.

..makala ya Maalim Seif imesheheni maoni na uchambuzi wa wanasheria. sasa binafsi natamani siku zijazo atafute ushauri na maoni ya wataalamu wa fani nyingine kama uchumi na sociology.

Unaweza ukatueleza kipi cha kuchangia iwapo kila kitu ni cha Zanzibar ni cha 'Muungano' na cha Bara ni cha Tanzania (Mwanza hadi Kigoma ukitowa Zanzibar)?
Elewa panapo tatizo ndipo panapozungumziwa na mambo yakienda sawa hapana haja ya kulalamika unless utuelezer kuwa Tanzania inaihudumia vipi Zanzibar kama mbia wa Muungano.
 
Namshukuru sana Maalim kwa waraka huu kwa kuwa maswali yangu mengi niliyokuwa nikijiuliza kuhusu muungano, nimepata majibu yake leo.
 
sasa hivi kapewa umakamu wa rais...katulia tuli wala hana kelele tena.
 
Unao ushahidi kuwa malim seif anachochea uPemba na Unguja au hii ndio njama ya wakoloni wetu wa bara wanataka kututawala daima. kama unaubavu basi jibu huu waraka. sio utuletee porojo. Mpemba aliokuwa hakusoma ni sawa na mbara aliyemaliza darasa la 12.
Ushahidi gani unaotaka ikiwa wewe tayari umekwisha sema Mpenda ambaye hakusoma ni sawa na Mbara aliyemaliza darasa la 12.. Hii ndio elimu ya Mpemba..
 
[h=1]Smz wanataka Serekali 3,Wz’bar Muungano uvunjike,Tanganyika wanataka tubaki na mfumo huu wa Serekali 1 ya Rep Of Tanganyika.[/h]Written by amini // 25/07/2011 // Habari // No comments

Mimi nasema inaonekana mpaka sasa hivi bado Wzanzibar hatujawa na msimamo moja wakusema kitugani tunataka, hivi sasa kuna tafauti kubwa ya viongozi wa Zanzibar wa sMz na raia wa kawaida Wzanzibar.
Viongozi wa smz wao wanapendelea kuwe na Muundo wa Serekali moja na Wzanzibar walio wengi wanataka Muungano uvunjike kabisa usiwepo.
Sasa mpaka sasa bado Wzanzibar tumetafautiana na viongozi wetu, kuna hatari ya kunahatari ya kutoku-stick kwa one voice ikawa serekali 3 zisije na wala Muungano usivunjike tukabaki na mfumo huu huu wa Serekali 2 lakini uhakika ni mmoja ya Repblic of Tanganyika.
Mimi nahisi huenda tukagonganiswa vishwa kwa vile tuna misimamo miwili tafauti Wzanzibar na viongozi wetu wa smz, wao wenzetu wa Tanganyika wote msimamo wao ni mmoja tu, ni kubaki Serekali hii hii ya Tanganyika ijitayo Tanzania na mfumo huu wa Serekali mmoja ya Repblic of Tanganyika.
Sasa kama hatuku stick kwa sauti moja Wzanzibar basi tujuwe viongozi wetu wa ccm wataitwa Giningi(Dodoma) na wakirudi huko tayari watakuwa ma-Zombi na kuunga mkono Serekali mbili kuelekea mmoja ambayo uhakika wa kilimacho cha wtanganyika ni hii tulio nayo ya Republic of Tanganyika.
 
Tanzania ni nchi changa lakin ina maraisi watano. Wote wanapokea mishahara ya mamilion,nyumba na magari ya kifahari,ulinzi mkari.wakat wananchi wao ni masikin. Hii sio busara, kamavip 2vunje muungano tu bcoz hakuna faida.
 
Back
Top Bottom