Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Natamani wafanye hivi mbele ya Slaa(atazoa wengi mwaka huu)teh,teh,teh.
Unakumbuka maneno yangu?
Natamani wafanye hivi mbele ya Slaa(atazoa wengi mwaka huu)teh,teh,teh.
Yaani hapo ni zaidi ya khanga party. Ninavyojua mimi khanga ni vazi la staha,sasa hao wamekwenda mbele zaidi...!iLA HALIJAPENDEZA UFUNGAJI WAO WA KHANGA SIO MZURI HAKUNA JIPYA
Kazi na dawa!!!
kwani ilikuwa ni lazima waonyeshe nyeti?
mfukunyuzi waonyeshe na ile picha yangu nikiwa ndani ya kivazi changu cha kanga!
mfukunyuzi wee hatari!
Umei[ende staili ipi kati ya hizo hapo?
natamani wafanye hivi mbele ya slaa(atazoa wengi mwaka huu)teh,teh,teh.
Ziko wapi hapo??
I know this gal walah.
unajua hata kama unamchukia, mchukie tu.
Tatizo lake amekushika pabaya , na kwa sasa maumivu yake unayasikia. Mtoto wa binadamu mwenzako kakukosea nini, please if u hate dr. Slaa, leave him alone sio kumtusi rais mtarajiwa, pia usimtusi jk kwani ni rais wetu, naye pia ni rais mtarajiwa. Jiheshimu bwana na heshimu utu wa watu ebo!!!!!