Wenyewe wanasema mwanamke nyonga!
aisee hawa watu ni noooma, sijui haya mambo ya kanga moko yame originate wapi jamani,
tuletee picha mkuu
Hiyo ndio baikoko, ukishaiona hiyo ngoma inavyochezwa ndio utajuwa kwanini watu wakipata wa Tanga huwa hawabanduki.