mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
anampa laana tu mtoto wa mwanamke mwenzie ..khaaaa
Ana utoto gani huyo?
anampa laana tu mtoto wa mwanamke mwenzie ..khaaaa
Kwa kuendekeza Tamaa za mwili, Penzi halina umri.. Lakini kwa hofu ya Mungu, Tuige na tukubali kua \mwanaume anapaswa amzidi Mwanamke ki umri . Like Adam na Hawa, Adam alikua mkubwa kwa Hawa..
Mbona tunaolewa na vibabu vizee hatupigi kelele, when its pay back kwanini manweka mabandiko?