Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Hiyo aliyo nayo sasa
siyo full time. Akatafute kazi full-time halafu hiyo ya kupiga mizinga
wanaume aibakishe kama part-time.
This way she'll hardly ever be broke.
Kumbe na wewe ndio wale wale!
Hiyo aliyo nayo sasa
siyo full time. Akatafute kazi full-time halafu hiyo ya kupiga mizinga
wanaume aibakishe kama part-time.
This way she'll hardly ever be broke.
Purple mwanaume hapaswi kujiona ana kibarua cha kumpa girlfriend wake ela no matter what? Imagine wewe una mtoto wa kiume ambaye ni mwanafunzi na hana kazi. Na kwa kuwa ni above 18 japo ni mwanfunzi say wa high school au college ana girlfriend...Atatoa wapi ela ya kumpa girlfriend wake ambaye say ni binti yangu???
Kama binti anaingia kwenye uhusiano kwa kutegemea mwanaume atamtunza ndio wale mabinti ambao mnakuta mkuo high school yeyey ana date a banker...huku ana kijana mwanafunzi mwenzie.
Masikini ya Mungu hajuhi huyo anaye date ambaye ni mkubwa kuliko yeye anamuweka kwenye risk gani za magonjwa.
Nakubali wadada wa hivyo wapo wengi...lakini ndio hawafai kwani hakuna penzi wanajiuza kupata ela ya matumizi.
kha! nitakujaje sasa?? naomba urojo na ndizi bukoba, nina game la kufa mtu weekend hii! upo mdogo wangu, wanatakaga kututumia tu, lakini kutupendezesha aaahh! ndio maana huwa wanasaidiwa na wenzao wenye moyo wa kusaidia na kupendezesha! jamani wapendeni wake, partners zenu ili mjiamini na kuaminiwa!
mwahhhh! Purple! karibu mwaya, mimi binafsi nasikiaga raha sana hubby akiniambia, fuel hiyo, salun hiyo, na hii matakataka yako mengine. hii ya watoto, tuonane end of month, ila pia nikikwama hapo katikati bado narudi kwake! and am working and he knows, kwani whats a big deal jamani, ndiyo maana bado nnashine nikikutajia umri wangu utakataa lakini hayo yote ni matunzo ndugu zanguni, na inaepusha sana vishawishi. coz huwa najua i have a shoulder to lean on any time nikiwa na shida!
Kumbe na wewe ndio wale wale!
my dear nyumba kubwa ninachokisema mimi sio mwanamke awe tegemezi kwa mpenzi wake kwa kila kitu, wala sio awe anamuomba mpenzi wake pesa bali ninachosisitiza mimi sio vibaya mwanaume kumpa girlfriend wake pesa akijisikia kufanya hivyo bila kinyongo chochote! Mfano:labda binti amemaliza chuo bado hajapata kazi na boyfriend wake ana kazi tena nzuri tu is it a sin kwa huyo boyfriend kumsuport mpenzi wake financialy kwa wakati huo??siongelei wale wanawake wanaokua na wanaume kwa lengo la kupewa hela la hasha! Naongelea kusaidiana financialy kiroho safi kabisa huku mapenzi ya dhati yakiwepo pia!
thanks Nyani Ngabu. ila best leo nimepata like yako nitaota lol!
thanks Nyani Ngabu. ila best leo nimepata like yako nitaota lol!
mwahhhh! Purple! karibu mwaya, mimi binafsi nasikiaga raha sana hubby akiniambia, fuel hiyo, salun hiyo, na hii matakataka yako mengine. hii ya watoto, tuonane end of month, ila pia nikikwama hapo katikati bado narudi kwake! and am working and he knows, kwani whats a big deal jamani, ndiyo maana bado nnashine nikikutajia umri wangu utakataa lakini hayo yote ni matunzo ndugu zanguni, na inaepusha sana vishawishi. coz huwa najua i have a shoulder to lean on any time nikiwa na shida!
Kiukweli umegusa NYOYO za wanaume wengi...ila mi binafsi napenda mwanamke anipe yeye pesa ila simuombi...!ila mimi kutoa ningumu...bora niende Kona bar!!!
'Mali uongeza furaha ya mwanamke katika maisha'-Shaban Robert
"vox populi 'vox dei"
Point yako apo ni ipi?wanaume mnamambo msipo ombwa hela mnaanza kusema atakua na mwanaume mwingine anayempa hela mbona mie huwa aniombi hela.....mkiombwa tena inakua shida!!! pia wanaume mnapenda kujishow of kua mnahela na mbwebwe kibao.
Point yako apo ni ipi?
Haya mambo mnayaendekeza wenyewe wanaume siku ya kwanza kutongoza mnatoa elf kumi ya vocha sa kwa nini nisikufanye dingi
mkiombwa hela mclalamike.