ila kupewa pesa na mwandani wako raha jamani! tuache unafiki, pesa ni chachu ya loveeeeeee! si lazima malaki wala mamilioni, waeza sema tu bby wangu leo kanunue pants cassandra, 50,000 hiyo hapo! basi roho inasikia amani na gemu linakuwa la maufundi zaidi! coz unaona this guy cares about me, ananifikiria hata kama si kwa makubwa, but at least kidogo alicho nacho he shares with me, coz nyie nyie mnataka tuspray ma alien na coco channel perfumes, pants za uhakika, n shoes and everything iwe poa, hata tukitoka u appreciate, maintain basi huo uzuri na utanashati ili nisichushe!
wakati unanioa au umenikuta nilikuwa nashine, my parents tried na kunifanya unikute vile ulivyonikuta! sasa iweje leo nije kwako kei yangu waitaka kutwa mara 5, usiku umeigeuza drip ya kwinini, unanigeuza weeeeeeee! halafu hutaki kuu-maintain uzuri wangu itakuaje jamani???
nadhani mwanaume hapaswi kuombwa, anapaswa mwenyewe kujua huyo partner wake anahitaji huduma na kupendeza, anahitaji kujaliwa na kuonyeshwa anathaminiwa! ni mtazamo tu.
kha! nitakujaje sasa?? naomba urojo na ndizi bukoba, nina game la kufa mtu weekend hii! upo mdogo wangu, wanatakaga kututumia tu, lakini kutupendezesha aaahh! ndio maana huwa wanasaidiwa na wenzao wenye moyo wa kusaidia na kupendezesha! jamani wapendeni wake, partners zenu ili mjiamini na kuaminiwa!
ila kupewa pesa na mwandani wako raha jamani! tuache unafiki, pesa ni chachu ya loveeeeeee! si lazima malaki wala mamilioni, waeza sema tu bby wangu leo kanunue pants cassandra, 50,000 hiyo hapo! basi roho inasikia amani na gemu linakuwa la maufundi zaidi! coz unaona this guy cares about me, ananifikiria hata kama si kwa makubwa, but at least kidogo alicho nacho he shares with me, coz nyie nyie mnataka tuspray ma alien na coco channel perfumes, pants za uhakika, n shoes and everything iwe poa, hata tukitoka u appreciate, maintain basi huo uzuri na utanashati ili nisichushe!
wakati unanioa au umenikuta nilikuwa nashine, my parents tried na kunifanya unikute vile ulivyonikuta! sasa iweje leo nije kwako kei yangu waitaka kutwa mara 5, usiku umeigeuza drip ya kwinini, unanigeuza weeeeeeee! halafu hutaki kuu-maintain uzuri wangu itakuaje jamani???
nadhani mwanaume hapaswi kuombwa, anapaswa mwenyewe kujua huyo partner wake anahitaji huduma na kupendeza, anahitaji kujaliwa na kuonyeshwa anathaminiwa! ni mtazamo tu.
mwahhhh! Purple! karibu mwaya, mimi binafsi nasikiaga raha sana hubby akiniambia, fuel hiyo, salun hiyo, na hii matakataka yako mengine. hii ya watoto, tuonane end of month, ila pia nikikwama hapo katikati bado narudi kwake! and am working and he knows, kwani whats a big deal jamani, ndiyo maana bado nnashine nikikutajia umri wangu utakataa lakini hayo yote ni matunzo ndugu zanguni, na inaepusha sana vishawishi. coz huwa najua i have a shoulder to lean on any time nikiwa na shida!like! Like! Like! Hua inanoga sana wanaume wanaojua wajibu wao bila kuombwa wala kulazimishwa..
sasa iweje leo nije kwako kei yangu waitaka kutwa mara 5, usiku umeigeuza drip ya kwinini, unanigeuza weeeeeeee! halafu hutaki kuu-maintain uzuri wangu itakuaje jamani???
cartura mambo? mbona naupikia, naufulia, naunyoosha ukiwa umechoka, naupalilia, nautibu na kuupaka dawa ukiwa unaumwa! nautuliza kila unapopandwa na hasira kuu! naubusu nakuutakia afya njema kila nikutanapo nao! unataka gharama zipi tena my dear friend, tujuzane, hapa ni pakufundishana!mshedede mbona wenyewe unatumika tu bila gharama za uendeshaji kama 'k'?
kha! nitakujaje sasa?? naomba urojo na ndizi bukoba, nina game la kufa mtu weekend hii! upo mdogo wangu, wanatakaga kututumia tu, lakini kutupendezesha aaahh! ndio maana huwa wanasaidiwa na wenzao wenye moyo wa kusaidia na kupendezesha! jamani wapendeni wake, partners zenu ili mjiamini na kuaminiwa!
i wonder ooooooo! i wonder my sister ooooooo!urojo umepata, we andaa apitait tu. Acha vijana watunziwe na kila siku wataishia kulia lia wananyang'anywa wapenzi na wenye pesa wakati wao mambo madogo yaliyopo ndani ya uwezo wao wanashindwa kufanya. Hivi cacico anayekupenda bila kukujali utauona vipi upendo wake?
mwahhhh! Purple! karibu mwaya, mimi binafsi nasikiaga raha sana hubby akiniambia, fuel hiyo, salun hiyo, na hii matakataka yako mengine. hii ya watoto, tuonane end of month, ila pia nikikwama hapo katikati bado narudi kwake! and am working and he knows, kwani whats a big deal jamani, ndiyo maana bado nnashine nikikutajia umri wangu utakataa lakini hayo yote ni matunzo ndugu zanguni, na inaepusha sana vishawishi. coz huwa najua i have a shoulder to lean on any time nikiwa na shida!
urojo umepata, we andaa apitait tu. Acha vijana watunziwe na kila siku wataishia kulia lia wananyang'anywa wapenzi na wenye pesa wakati wao mambo madogo yaliyopo ndani ya uwezo wao wanashindwa kufanya. Hivi cacico anayekupenda bila kukujali utauona vipi upendo wake?
cacico na Catherine pamoja na Purple ninawasona na ninawaelewa.i wonder ooooooo! i wonder my sister ooooooo!
Kama una kazi huwezi kujitunza??
Well ikija kwenye ndoa ni another case kwani maisha ya ndoa ni tofauti toka familia na familia. Mfano mimi siwezi kuomba ela kwa hubby kwa kuwa ela yangu ni ela yake na yake ni yangu...kwa kifupi ela yetu ni ya familia.
Hapa nadhani tunalaani kuomba omba kwa mabiti. Kwani hii tabia ndio inafanya mabinti zetu wapende ku date watu wanaowazidi umri kwa kuwa age mates wao hawana ela.
hapa sasa tunaanza kuelewana na ndo maana nikasema mwanamke anayejitambua hawezi kumuomba pesa mpenzi wake, ila mwanaume anayejielewa atatoa where necessary kulingana na mazingira yaliyopo kwa wakati huo bila kuombwa wala kulazimishwa..
Kaizer mimi kwangu kujenga hakuna mwisho, i realy like investing kwenye houses kuliko business yoyote! tofali tunaweka site, na maperfume tunapata! sina ile itikadi ya kwamba sasa najenga, so kuvaa, perfumes, wine kidogo weekend kuishe etc VI-STOP. eti ni kujenga najenga! khaaaaaaa si tutachusha! fanya polepole na kwa uwezo wako, na bado kujaliana kubaki palepale!cacico na Catherine pamoja na Purple ninawasona na ninawaelewa.
tumepishana jambo moja tu
Tunashindwa kuelewa context ya hii makitu ni nini? tusichanganye mahitaji ya lazima na yasiyo ya lazima.....
cacico do you do the same kwa mpenzi wako, kumnunulia hayo makitu, maperfume, mafuel sijui na nini? afu tena shemeji yangu mpenzi, inategemea apo kama uwezo huo hana je? aache kwenda kupiga tofali mbili tatu site, akanunue maperfume ili tu wasije wakakupendezesha wengine? gfsonwin where are you sweetlo umfafanulie mdogo wako cacico maana naona ameshindikana hapa afu anataka kumfundisha Catherine tabia mbaya...
uwezo ukiwepo, na mantiki ikiwepo sina shida nayo, tunachopinga hapa ni ile matumizi yanayoelekea kwen kumfanya mwenzio ATM
Halafu kwa MKE kuna spending ambayo ni inherent tu inaingia kwen OC, sasa kwa wale ambao kwa mfano bado ni BF/GF hii inabidi iangaliwe kwa mapana zaidi. Unamsaidiaje BF wako kwen majukumu mengine ya kimaendelea kwa mfano? Unamchukuliaje mtu mekutana siku ya kwanza, mmepeana namba za simu, jioni anakuomba vocha? kweli hii inakudefine vipi as a galfriend? ndo tunapoongelea
halafu suala la kupendeza mi nilidhani tulielewana vizuri tu kuwa hata kama upo kwa wazazi, utapendeza tu, hata kwa kupaka vaseline au Rays, ukiwa ni mrembo ni mrembo tu huhitaji kujibooost hadi kuvunja benki za watu kha!
Kama una kazi huwezi kujitunza??
Well ikija kwenye ndoa ni another case kwani maisha ya ndoa ni tofauti toka familia na familia. Mfano mimi siwezi kuomba ela kwa hubby kwa kuwa ela yangu ni ela yake na yake ni yangu...kwa kifupi ela yetu ni ya familia.
Hapa nadhani tunalaani kuomba omba kwa mabiti. Kwani hii tabia ndio inafanya mabinti zetu wapende ku date watu wanaowazidi umri kwa kuwa age mates wao hawana ela.
Kaizer mimi kwangu kujenga hakuna mwisho, i realy like investing kwenye houses kuliko business yoyote! tofali tunaweka site, na maperfume tunapata! sina ile itikadi ya kwamba sasa najenga, so kuvaa, perfumes, wine kidogo weekend kuishe etc VI-STOP. eti ni kujenga najenga! khaaaaaaa si tutachusha! fanya polepole na kwa uwezo wako, na bado kujaliana kubaki palepale!
hata hao mabinti wanao-date, bado nawatetea! ni upendo wa dhati utamuonyesha huyo kijana kuwa hachunwi bali ni haki ya yule binti kupata pesa kutoka kwake inapobidi! na ni haki pia ya yule dada kumjali mpenziwe kwa yote anayohitaji na zawadi kama ambavyo mpenziwe anafanya.
ninachojaribu kusema ni kwamba pesa kwenye relationship spices luv jamani, tupende tusipende! there is every big different kati ya relationship yenye kujaliana, tofauti na wale ma-selfish, kila mtu anafanya lake peke yake,, hawagawiani kwa mantiki ya ninachunwa, basi ilimradi!
na nyie mabinti jamani acheni kuomba kupitiliza, khaaaaaa! mtu atakuchoka hata kabla hujaingia kwenye ndoa, punguzeni mizinga!