Kha..! Nyie BAKWATA kulikoni..?

Status
Not open for further replies.
Tumesikia kwenye vyombo mbalimbali kuwa leo ni sikukuu ya idi kutoka radio Iman kwa taarifa kutoka malaysia na pia kukanusha kwa kuonekana kwa mwezi toka sauti ya quran kwa Tangazo la Mufti.Ukijaribu kufuatilia kwa makini ni kweli malaysia au Saudiarabia waliuona inachanganya kwani status yao ya mwezi ni kutokana na "calculation" sio "by naked eye" hivyo nchi nyingi sikafuata taarifa toka mataifa hayo mwawili!kwa siku ya jana mwezi uliweza kuonekana sehemu ya "Chile" kwa macho na ingewezekana kuonekana south africa eneo la cape town ila kwa darubini ila nao walishindwa kuuona.nchi ambazo zipo mashariki zaidi ilikuwa ni vigumu kuuona huo mwezi kwa jana,hivyo mashariki ya kati na nchi za arabuni isingewezekana kuonekana.Leo hii nchi kama oman,india,indonesia,australia zenyewe zipo kwenye swaumu kwa kuwa hawakuona mwezi.
Angalia muonekano wa mwezi kwa jana jinsi ulivyokuwa kwa dunia nzima.maelezo ya picha yanajieleza.na kwa jana hii ndio report ya nchi zilizo ona mwezi

OFFICIAL 1st Day of Shawwal in Different Countries


August 30, 2011 (Tuesday):
  1. Chile (Local sighting)
  2. China (Local sighting that we believe erroneous)
  3. Denmark (Follow Saudi)
  4. France (Official Announcement)
  5. Jordan (Follow Saudi)
  6. Kazakhstan (Follow Saudi)
  7. Kuwait (Follow Saudi)
  8. Kyrgyzstan (Follow Saudi)
  9. Lebanon (Follow Saudi)
  10. Libya (Calculations)
  11. Luxembourg (Follow Saudi)
  12. Malaysia (Calculations)
  13. Netherlands (Follow Saudi)
  14. Palestine (Follow Saudi)
  15. Philippines (Follow Saudi)
  16. Qatar (Follow Saudi)
  17. Saudi Arabia (sighting - Official Announcement)
  18. Sudan (Follow Saudi)
  19. Sweden (Follow Saudi)
  20. Syria (Follow Saudi)
  21. UAE (Follow Saudi)
  22. Tadjikistan (Follow Saudi)
  23. Taiwan (Follow Saudi)
  24. Turkey (Follow Saudi)
  25. Turkmenistan (Follow Saudi)
  26. USA (Calculations) [FCNA, ISNA]
  27. Uzbekistan (Follow Saudi)
  28. Yemen (Follow Saudi)
    August 31, 2011 (Wednesday):
    1. Indonesia (30 days completion - Official Announcement)
    2. Netherlands (30 days completion)
    3. New Zealand (30 days completion)
    4. Oman (30 days completion, since not possible on August 29)
    5. South Africa (30 days completion)

      [*]Tanzania (30 days completion)
 

Attachments

  • 1432shw_8-30-2011.gif
    1432shw_8-30-2011.gif
    41.2 KB · Views: 39
  • 1432shw_8-29-2011.gif
    1432shw_8-29-2011.gif
    44 KB · Views: 36
Yaani imeniboa kishenzi, maana nilijua full ulazy! Ngoja nitupe blanket sina machaguo!
 
Hapa pana utata kabisa kwani leo Makkah leo wamesherekea na kuswali Eid mubarack ata London angalia ata Islamic channel.Je kila bara lina Eid yake?Ndugu waisilam nipeni elimu kuhusu ili.
 
Sasa wengine tukisemaga hii dini ya ALLAH ni ya kutia mashaka tunaonekana kama wadini, sasa hii nini maana yake? Ina maana dini ya kiislamu haina kiongozi wa kidunia kule Saudia anaeunganisha waislamu na akawa ndio mtoa mwongozo kwa Waislamu duniani?
<br />
<br />
kule c makao makuu ya uislam like vatican
 
Ramadan Holy Month Ends With Saudi Moon SightingBy THE ASSOCIATED PRESSPublished: August 29, 2011 at 2:10 PM ET . RIYADH, Saudi Arabia (AP) — Saudi Arabia has announced that the Muslim holy month of Ramadan, characterized by dawn-to-dusk fasting and heightened piety, has ended. The decision was made after sunset Monday when the new moon was spotted. Muslims follow a lunar calendar. Saudi Arabia said the three-day Eid al-Fitr holiday that marks the end of Ramadan would begin Tuesday. Saudi Arabia is home to the main Muslim holy sites. Egypt and several other Arab countries said they, too, will observe Eid al-Fitr starting Tuesday. The month of fasting and extended prayer began Aug. 1. For many Muslims, Ramadan is a spiritual exercise, a lesson in self-restraint and a time for empathy and charity. It is observed by millions of believers around the world. Note:kibongo bongo msubiri BAKWATA iwatangazie.!
 
Lini waislam wakawa kitu kimoja. '.... tangu kifo cha swahiba wa mtume aliyeitwa Omar'.
 
Hapa pana utata kabisa kwani leo Makkah leo wamesherekea na kuswali Eid mubarack ata London angalia ata Islamic channel.Je kila bara lina Eid yake?Ndugu waisilam nipeni elimu kuhusu ili.
Ee bana wee, usicheze na magamba, yamezoe kusimama upande wa batli bin magumashi bac hata idd wanapinga-all over the world (from east to america) waislam na watu wote wako katika idd leo. Msikiti mtukufu wa Makka na wa madina wameswali idd, Just imagine angelikuwa mtume Muhammad kiongozi wao yu hai na anaswali hapa Madina, je Bakwata, Magamba na lile gamba kubwa la bakwata-simba angelisemaje. wanatia siasa katika katika maswala ya dini- Eid Mubarak
 
<br />
<br />
kule c makao makuu ya uislam like vatican
Lakini naona mahujaji wote wanakwenda kuhijji Saudia na misikiti yote duniani imeelekezwa kibla na tende ni huko ndio zinatoka, au labda nilegeze swali langu ni hivi namfahamu Agha khan kama ndio kiongozi wa waislamu wa madhehebu ya Ismailia, je hawa waislamu wa Bakwata kiongozi wao nani?
 
Hii sikukuu inabidi ifutwe kwenye calendar, hadi sasa sijaenda kazini wala sielewi kinachoendelea Bakwata na Anwsar sunna
 
pole, zamani Wakristu, Waislam na Wayahudi walifunga wote kuata Mwezi lakini Wakristu baada ya matatizo haya ya kuona mwezi na kutoona mwezi wakristu wakakokotoa na 'kufix'
 
Sio vizuri kuwaita viongozi wa dini ambayo huiamini wapumbavu hawa.... Ukiangalia sana BAKWATA wanafuata maelezo ya vitabu, wengine wanafuat Jografia na busara za maendeleo ya teknolojia. wote wako sawa kwa imani zao
 
<br />
<br />
Kila kitu kiko hapa Moonsighting for Shawwal 1432

Pumbafu kwa kuwa anaita wenzie pumbafu y pumbafu aiwe yy?
Mkuu, dini hii haiendeshwi kwa website kama wataka hivyo angalia ushuhuda bac kupitia hizo website then uangalie which one can be accepted under the muslim shariah! Je Unakumbuka kuwa iliwahi kutokea shakhe mkuu wa bakwata aliwaomba radhi waislamu kwa kuwa waliwaambia mwezi haujaandama na watu wakala siku ya kwanza ya kuingiya ramadhani hali ya kuwa mwezi ulionekana maeneo kadhaa ya huko tz, so akawaambia wailipe siku hiyo. Na kule zenj pia unakumbuka tukio kama hilo lilitokea. Tatizo la Bakwata sawasawa na magamba, elimu wanazo lakini hawataki kuifanyia kazi elimu hiyo, na M/mungu atawauliza sawasawa wenye elimu kisha wakashindwa kuitumia elimu hiyo. Swali kwako mkuu:- Kwa kuwa Msikiti wa Mtume Madinna leo wameswali idd, je ingelikuwa mtume yu hai, yeye ndiye (possibly) angeliswalisha swala ya idd, Je Bakwata wangelikuwa wanamfuata nani? Jitahidi usome dini yako na elimu utakayopata uitumie ipasavyo mkuu.

Eid moon sighted by Peshawar Ruet body | Newspaper | DAWN.COM
 
Mkuu hapo umekuwa mkali kidogo lakini ni kweli inabidi kitu kifanyike. Mimi pia sijatoka ndani maana ilibidi nianze kujicompose upya na sijui kama huko kazini kutakuwa normal!
Hivi katika ulimwengu wa leo ambapo binadamu anaweza kujua kuwa "mvua itanyesha juma lijalo", "tsunami itapiga siku mbili zijazo" au "biashara itapata faida/hasara kiasi gani mwaka huu", kweli, kweli, kweli ....tunashindwa kujua sikukuu itakuwa lini!!!!!!!!????

Check hii: Hapa ni Uganda ambao ni jirani zetu!!!
Tuesday is Eid al-Fitr
Monday, 29th August, 2011
Muslims in Uganda bid farewell to the holy month of Ramadan today and welcome Eid al-Fitr on Tuesday to mark the end of fasting.
Source: The New Vision Online: Uganda's leading newspaper

Hii sikukuu inabidi ifutwe kwenye calendar, hadi sasa sijaenda kazini wala sielewi kinachoendelea Bakwata na Anwsar sunna
 
Yaani kweli inakera sana, mimi mpaka nimechelewa kazini! Jamani ndugu zetu muwe mnafunga tu siku 30, inajulikana! Sasa haya mambo ya mwezi...yanaleta usumbufu tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom