zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
hii dunia inaelekea wapi? mbona ni kinyaa na uchafu kha! mmmhhh LORD HAVE MERCY!
Hamna sehemu salama kama huko, soma. Mdomo ni mchafu kuliko huko.
hii dunia inaelekea wapi? mbona ni kinyaa na uchafu kha! mmmhhh LORD HAVE MERCY!
Mara 100 nikute jamaa amezamisha dushelele kwa mke wangu naweza kufikiria kusamehe au la. Lakini kwa usagaji ni summary dismissal!Pamoja na kwamba mimi ni mwanamke nimependa sululu yako, l am sure yule dada mwingine hatapenda lakini ndio adhabu ifaayo. Threesome lol!
By the way kipi kinauma zaidi, kumfumania mkeo akiwa anaDO na mwanamke mwenzake au na mwanaume?
Mara 100 nikute jamaa amezamisha dushelele kwa mke wangu naweza kufikiria kusamehe au la. Lakini kwa usagaji ni summary dismissal!
Ukweli ni huu, mwanamke akishazoea kusagwa ni ngumu kuacha na hata mume atakuwa kama formality tu. Kwa nini nasema hivi?
Kiuhalisia ni kuwa mapenzi ya wanawake kwa wanawake yanakuwa ni makali sana kwa sababu yana involve michezo mingi ambayo inamtia mwanamke nyege za kutosha hadi kufikia kileleni. Tofauti na ilivyo na wanawake wanaposagana, wanaume wengi wanakuwa na haraka na wengine kuona kinyaa hasa kama jamaa alivyosema kwenda uvinza na mengineyo.
Kiukweli, amsemehe tu mkewe ni uhayawani tu lakini kwa jinsi nifahamuvyo mapenzi hayo ya wanawake wasagaji kila akikumbuka mkewe atakuwa anapata mawenge sana hasa kama jamaa ufanisi siyo mkubwa kunako fani.
Ni asubuhi hii. Umbea nao hauniachi!
Ni hivi! Jamaa yangu kaja hapa anatweta ka vespa ama tukutuku vile!
Ananisimulia yalomkuta over weekend! Yeye na mkewe walikuwa wamealikwa kwenye harusi nje ya huu mji tukaao. Kukawa kuna shoga yake na mkewe ambaye wanamchukulia kama a very close family friend. Huyo mdada ana mtoto mmoja na hajaolewa. Wamekuwa naye kwa kitambo sasa na anayo kazi nzuri tu. Sasa hii mambo ya kuchangia harusi huku uswahilini naye huyu shoga wa mkewe akawa naye kachangia. Siku mbili kabla ya harusi shoga wa mkewe akaomba aongozane nao kwenye gari yao maana haina maana kwenda na gari mbili while wanaelekea kwenye shughuli moja. Wakamkubalia. Wakasafiri! Wakapanga hoteli moja, jamaa na mkewe double self moja la maana tu, yule mdada akachukua single yake fresh! Sasa basi ile siku ya harusi mwanaume si akawaaga kuwa wanatakiwa ukumbini mida ya saa nne hivi maana naye ni mmoja wa wanakamati! Hotelini akabaki mkewe na yule dada. Akaenda ukumbini kule mambo yakaenda chapchap jamaa akaamua kurudi hotelini kujipumzisha mpaka mida iende.
La haula alichokuta hakuamini macho yake! Mke wake na shoga yake walikuwa kama walivyozaliwa! Wanapeana mahaba ka vichaa vile. Jamaa hakusema kitu wakaendelea mpaka walipomaliza yeye kasimama tu anawaangalia. Kuja kushtuka jamaa keshawaona.
Unajua tena fumanizi nifumanizi tu! Ooooh shetani tu, haturudii tena! Mambo kibao! Jamaa akaingia akachukua nguo zake na wala hakusubiri harusi na kurudi kwenye mji wake. Mke anaambiwa naye karudi kwa wazazi wake. Yule shoga wa mkewe hajaonekana mtaani kwao.
Jana jumapili mke akatuma dada yake mkubwa aje amuombee samahani! Jamaa akamuuliza dada yake kwani kakosa nini? Eti dada mtu hata hakuambiwa kosa lenyewe!
Jamaa yuko njia panda maana bado ana kichefuchefu mpaka sasa maana alimshuhudia mkewe akizama chumvini laivu hali kadhalika yule shoga yake naye alikuwa amezama chumvini kwa mkewe pia.
Sasa afanyeje! Msaidieni jamani!
Yaani Kweli kabisa jamaa bonge la mjinga, angevaa jezi akajitupa uwanjani,then angekuwa ana walima wote kila wiki kwa roho safi,ana haja ya kuacha mkeHuyo jamaa hamnazo, si ndio na yeye angeingia ikawa threesome ya nguvu. Mbona raha tu.
FirstLady! Dozi ilikuwa ya kitoto hiyo. Unatakiwa utoe dozi kama ya Quinine, masikio, macho, utumbo na kila kiungo kinauma kwa uchovu halafu uone kama anaweza tena hata kuhitaji kulambwalambwa mbunye.Jamani hili tukio la kusikitisha na hapo unaweza kuta jamaa alikuwa kishampa wife dose yake
LoL huyu mwanamke kashindikana kitabia ..sijui hata nimshauri nini huyu mwanaume.