Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,988
a. Kutalazimisha uchunguzi kukamilika mapema
b. Kutaondoa wingu la tuhuma dhidi ya watu
c. Kutapunguza gharama za kuendesha kesi kwa miaka mingi
d. Watu wafikishwe mahakamani wakati uchunguzi/upepelezi umeshakamilika - kama haujakamilika wanafikishwa mahakamani kwanini?
e. Kuhakikisha kesi zinaisha haraka na kwa ufanisi kunatoa mwanya wa kuwashughulikia watu wengi zaidi katika muda mfupi
f. Kama kesi za Wabunge zinaweza kupangiwa majaji na kusikilizwa mfululizo hadi kutolewa hukumu kesi za ufisadi zingefayiwa kazi kama inavyotaka sheria ya Uhujumu Uchumi ambapo mahakama maalum inakaa.
Kwa ufupi haiwezekani na haipaswi kesi hizi kuendelea kuwa zinasikilizwa miaka mitano au sita na hapo ni kabla ya rufaa! Ucheleweshaji wa kesi hizi ni mbinu ya kuchelewesha haki na kuwajibishana.
b. Kutaondoa wingu la tuhuma dhidi ya watu
c. Kutapunguza gharama za kuendesha kesi kwa miaka mingi
d. Watu wafikishwe mahakamani wakati uchunguzi/upepelezi umeshakamilika - kama haujakamilika wanafikishwa mahakamani kwanini?
e. Kuhakikisha kesi zinaisha haraka na kwa ufanisi kunatoa mwanya wa kuwashughulikia watu wengi zaidi katika muda mfupi
f. Kama kesi za Wabunge zinaweza kupangiwa majaji na kusikilizwa mfululizo hadi kutolewa hukumu kesi za ufisadi zingefayiwa kazi kama inavyotaka sheria ya Uhujumu Uchumi ambapo mahakama maalum inakaa.
Kwa ufupi haiwezekani na haipaswi kesi hizi kuendelea kuwa zinasikilizwa miaka mitano au sita na hapo ni kabla ya rufaa! Ucheleweshaji wa kesi hizi ni mbinu ya kuchelewesha haki na kuwajibishana.