kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
kesi ya Uchaguzi Iliendelea jana (23.07.2012) katika mahakama ya Nzega, hatua iliyofikia ilikuwa ni Mh. J.P.Magufuri kujakutoa maelezo ya utetezi kuhusu tuhuma zinazomkabili za kutumia nafasi ya uwaziri katika kufanya kampeni kwa chama chake (CCM), cha kushangaza akuweza kutokeza mahakamani na maelezo yaliyotolewa ni kwamba ana ED ya mwezi mzima hivyo hawezi kufika hadi hapo ED itakapokwisha.
Uamuzi wa JAJI amewapa CCM masaa 48 tangu jana Magufuri awe amefika kutoa maelezo yake ya utetezi wasipofanya hivyo ndiyo itakuwa mwisho na tarehe ya Hukumu itapangwa.
My Take
Hii si inaonyesha Dharau kwa mahakama? kama ana ED mbona Bungeni anahudhuria, kwa mnao jua sheria kwa mtu kama huyu anayedharau mahakama huwa anachukuliwa hatua gani?
Mwendelezo:-
Baada ya Mh. Mgufuli kupewa masaa 48 awe amekuja kutoa maelezo amekaidi amri hiyo na inasemekeana amesema hawezi kuja kutoa maelelzo kama uchaguzi kurudiwa na urudiwe. Jaji ameamua kusitisha utetezi huo na kuhairisha kesi hadi tarehe 20.08.2012 ambayo ndiyo itakuwa siku ya hukumu.
Kabla ya kutoa uamuzi huo alipokea barua kutoka kwa wanasheria wa mlalamikaji kuhusiana na kietendo cha ukaidi wa Mh. Magufuli.
NB:Katika kesi hii Kafumu amekuwa akilalamika kutengwa na CCM katika suala zima la kesi kiasi imebidi atumie fedha zake katika gharama za uendeshaji wa kesi kwa watu wa upande wa CCM na isitoshe kitendo cha Magufuli kutokuja kutoa maelezo kimemuhudhunisha sana na kumkatisha tamaa na hususani kauli ya kusema kama kurudiwa uchaguzi na urudiwe, kiasi amesikika akisema anajilaumu kwa kuacha Ukamishna na kukimbilia Ubunge.
KESI KWA UPANDE WA CCM IMEWAKALIA VIBAYA LABDA ICHAKACHULIWE.
Uamuzi wa JAJI amewapa CCM masaa 48 tangu jana Magufuri awe amefika kutoa maelezo yake ya utetezi wasipofanya hivyo ndiyo itakuwa mwisho na tarehe ya Hukumu itapangwa.
My Take
Hii si inaonyesha Dharau kwa mahakama? kama ana ED mbona Bungeni anahudhuria, kwa mnao jua sheria kwa mtu kama huyu anayedharau mahakama huwa anachukuliwa hatua gani?
Mwendelezo:-
Baada ya Mh. Mgufuli kupewa masaa 48 awe amekuja kutoa maelezo amekaidi amri hiyo na inasemekeana amesema hawezi kuja kutoa maelelzo kama uchaguzi kurudiwa na urudiwe. Jaji ameamua kusitisha utetezi huo na kuhairisha kesi hadi tarehe 20.08.2012 ambayo ndiyo itakuwa siku ya hukumu.
Kabla ya kutoa uamuzi huo alipokea barua kutoka kwa wanasheria wa mlalamikaji kuhusiana na kietendo cha ukaidi wa Mh. Magufuli.
NB:Katika kesi hii Kafumu amekuwa akilalamika kutengwa na CCM katika suala zima la kesi kiasi imebidi atumie fedha zake katika gharama za uendeshaji wa kesi kwa watu wa upande wa CCM na isitoshe kitendo cha Magufuli kutokuja kutoa maelezo kimemuhudhunisha sana na kumkatisha tamaa na hususani kauli ya kusema kama kurudiwa uchaguzi na urudiwe, kiasi amesikika akisema anajilaumu kwa kuacha Ukamishna na kukimbilia Ubunge.
KESI KWA UPANDE WA CCM IMEWAKALIA VIBAYA LABDA ICHAKACHULIWE.