Capitalist
Senior Member
- Feb 3, 2011
- 164
- 27
Mh. Lissu aendelea kuwaburuza magamba wazembe mahakamani, leo alikuwa anaelezea ushahidi wa magamba ulivyojikanganya, kesi inaendelea saa 8 mchana.
Kweli mkuu hapa wanaweza kujikwaa maana alivyokuwa akichachafya mawakili wa Magamba walibaki midomo wazi kama wamekamatwa Ugoni huku m/kiti mkoa Magamba wa Magamba Joram Alute akisinzia mahakamani.Nia ya magamba ni kumtoa huyo sijui kama wataweza.
Kuliko Lissu awe Mbunge ni heri Slaa aukwae URAISI
Mnaikumbuka iyo statement?
Kesi ya kitoto kama nini tunammisi sana Lisu Bungeni,hata muswaada wa juzi usingepita na upuuzi wote ule,naona Werema ana kula na kushiba kipindi hiki!
Sango leo wapi? maana jembe hili huwa anaspeed ya ajabu, ananakili yoye ya mahakamani