Nilifikiri Bwana Njau ana akili lakini kwa jinsi hii kesi inayofumuka nalazimika kwa mara nyingine tena kuwashukuru wananchi wa Singida kwa kumchagua Lissu. Ni watu aina ya Lissu ndio wanastahili kuitwa WAHESHIMIWA. Na kama Mheshimiwa Lissu anasoma hapa basi nakuomba uwaogeshe na maji maridi hao vilaza wa ccm na ukiweza zima machine ya oxygen tumalize haya mashauri once and for all.