Elections 2010 Kesi ya traffic ya Chenge Itafutwa kiujanja

SHUPAZA

JF-Expert Member
Aug 4, 2009
562
23
Nimepata taarifa toka kwa mdau mmoja toka dodoma ambaye alifanikiwa kujipenyeza
kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya chama cha sisiem akawasikia wakisema wataicheza
tu kichama kuweka mambo level kwa wagombea ubunge wa chama chao ambao wana kesi
lakini huyu andrew chenge walimtaja kwa jina kuwa sehemu kubwa wamesha icheza na
huyu jamaa hata kutwa na hatia yoyote..............................................................................wame
ongea maneno mengi sana sasa mdau yoyote mwenye taarifa zaidi naomba atuletee hapa
 
Nimepata taarifa toka kwa mdau mmoja toka dodoma ambaye alifanikiwa kujipenyeza
kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya chama cha sisiem akawasikia wakisema wataicheza
tu kichama kuweka mambo level kwa wagombea ubunge wa chama chao ambao wana kesi
lakini huyu andrew chenge walimtaja kwa jina kuwa sehemu kubwa wamesha icheza na
huyu jamaa hata kutwa na hatia yoyote..............................................................................wame
ongea maneno mengi sana sasa mdau yoyote mwenye taarifa zaidi naomba atuletee hapa

Kwani hufahamu Tanzania kuna matabaka ya watu. Chenge aka vijicenti na mahohehae. wataendelea kutafuna fweza za walipa kodi tu!
 
Kama inawezekana kuichezea kesi ya mabillioni, kwanini washindwe kuichezea kesi ya askari barabarani.?
 
Nimepata taarifa toka kwa mdau mmoja toka dodoma ambaye alifanikiwa kujipenyeza
kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya chama cha sisiem akawasikia wakisema wataicheza
tu kichama kuweka mambo level kwa wagombea ubunge wa chama chao ambao wana kesi
lakini huyu andrew chenge walimtaja kwa jina kuwa sehemu kubwa wamesha icheza na
huyu jamaa hata kutwa na hatia yoyote..............................................................................wame
ongea maneno mengi sana sasa mdau yoyote mwenye taarifa zaidi naomba atuletee hapa

Acha umbea wako. Kwanini huyo aliyekupatia hizo info asimalizie zote?.
 
Back
Top Bottom