SHUPAZA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2009
- 562
- 23
Nimepata taarifa toka kwa mdau mmoja toka dodoma ambaye alifanikiwa kujipenyeza
kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya chama cha sisiem akawasikia wakisema wataicheza
tu kichama kuweka mambo level kwa wagombea ubunge wa chama chao ambao wana kesi
lakini huyu andrew chenge walimtaja kwa jina kuwa sehemu kubwa wamesha icheza na
huyu jamaa hata kutwa na hatia yoyote..............................................................................wame
ongea maneno mengi sana sasa mdau yoyote mwenye taarifa zaidi naomba atuletee hapa
kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya chama cha sisiem akawasikia wakisema wataicheza
tu kichama kuweka mambo level kwa wagombea ubunge wa chama chao ambao wana kesi
lakini huyu andrew chenge walimtaja kwa jina kuwa sehemu kubwa wamesha icheza na
huyu jamaa hata kutwa na hatia yoyote..............................................................................wame
ongea maneno mengi sana sasa mdau yoyote mwenye taarifa zaidi naomba atuletee hapa