King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
basi babangu, yaishe! manake rostam akishashinda hiyo kesi atafungua ya madai ya kutaka amilikishwe nchi na wananchi wote for 99 yrs! walau hawa wafilipino waoga watatukamua kiduchu!
Kila kesi tunabwagwa tu, pesa zishaliwa kwa kuendesha kesi tukijua wazi tutashindwa. Bado mtataka Rostam na wenzake wafunguliwe mashtaka?