Avatar Myg
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 675
- 118
Mh!.. Tatizo letu watanzania kila kitu tunawaza siasa na 2015. Kwa upande wangu sijaiona connection yoyote kati ya Rada issue na 2015 presidential candidate.
Suala kuhusiana na watu walio cheza hilo dili la mabilioni ndio la msingi kuhoji. Ila tukikaa tunaangalia 2015 tutabaki hapahapa na fikra zetu mgando!
Suala kuhusiana na watu walio cheza hilo dili la mabilioni ndio la msingi kuhoji. Ila tukikaa tunaangalia 2015 tutabaki hapahapa na fikra zetu mgando!