sembuli
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 757
- 383
Wana JF, salaam.
Nakumbuka leo ndio ile siku ya kusikilizwa kwa ile kesi namba 146 ya mwaka 2012 , inayomkabili mbunge wa jimbo la BAHI mkoani Dodoma CCM, mh Omary Baduwel Kwa kosa ya kuomba rushwa ya sh milion 8 nakupokea cash sh 1,000,000/=.
Tafadhali mwenye updates au taarifa ya kilichojili huko mahakamani atuwekee hapa
Nakumbuka leo ndio ile siku ya kusikilizwa kwa ile kesi namba 146 ya mwaka 2012 , inayomkabili mbunge wa jimbo la BAHI mkoani Dodoma CCM, mh Omary Baduwel Kwa kosa ya kuomba rushwa ya sh milion 8 nakupokea cash sh 1,000,000/=.
Tafadhali mwenye updates au taarifa ya kilichojili huko mahakamani atuwekee hapa