Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Gazeti la Majira limetuhabarisha ya kuwa ile kesi ya radar itaanza kusikilizwa kesho jijini London uingereza............Na hii itakuwa ni mara ya kwanza kwa kesi hiyo kutajwa mahakamani hapo................