Kesi ya rada kuunguruma kesho.............

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Gazeti la majira limetupasha ya kuwa ile kesi ya ufisadi wa rada yetu ya kijeshi kuanza kunguruma kwa mara ya kwanza uingereza kesho...................
 
Wamtie pingu chenge na kumpeleka huko UK akajibu ufisadi wake, wapumabvu kama wakina Chenge ndio tuiotaka hata kuwaona katika hii nchi yetu iliyonzuri lakini inaharibiwa na washenzi wasio kuwa na hata aibu kwa Taifa. Bora wamfunge jela na ufunguo utupwe baharini asitoke tena hatumtaki tena Pumbafu sana huyo. wametuuibia sana kodi zetu.:redfaces:
 
Jeykey alishamsamehe na atakachokifanya ni kutokupeleka mashtaka na uwakilishi ili Tanzania ionekane iliridhika na bei
 
Gazeti la majira limetupasha ya kuwa ile kesi ya ufisadi wa rada yetu ya kijeshi kuanza kunguruma kwa mara ya kwanza uingereza kesho...................


Vipi matambo ya Mhs Chenge na uongo wa TAKUKURU. Ukibeba kapu la samaki waliooza utanuka.
Hawa jamaa si waombe msamaa kwa wananchi wa Tanzania walio wadanganya. Huyo Boss aliye toa wrong imformation ajiuzuru. AIBU TUPU.
 
Wamtie pingu chenge na kumpeleka huko UK akajibu ufisadi wake, wapumabvu kama wakina Chenge ndio tuiotaka hata kuwaona katika hii nchi yetu iliyonzuri lakini inaharibiwa na washenzi wasio kuwa na hata aibu kwa Taifa. Bora wamfunge jela na ufunguo utupwe baharini asitoke tena hatumtaki tena Pumbafu sana huyo. wametuuibia sana kodi zetu.:redfaces:

We all pray for justice to take place......................
 
Jeykey alishamsamehe na atakachokifanya ni kutokupeleka mashtaka na uwakilishi ili Tanzania ionekane iliridhika na bei

Kama waliridhika na bei sasa ile bakshishi kutoka UK waliokuwa waimezea mate inatoka wapi kama siyo bei ilichakachuliwa kubeba ulaji wa jamaa fulani fulani tu..............
 
Kama waliridhika na bei sasa ile bakshishi kutoka UK waliokuwa waimezea mate inatoka wapi kama siyo bei ilichakachuliwa kubeba ulaji wa jamaa fulani fulani tu..............

Kizunguzungu kikubwa hiki; kwamba walioibiwa (TZ) wanasema dili lilikuwa safi tu huku mwizi (BAE) anabanwa na ndugu yake (SFO) kurekebisha dhulma hiyo halafu wanaosemekana kuibiwa wanadai kufuatilia mkwanja unaotaka kurejeshwa ili ufikishwe serikalini kunakohusika(rejea kauli ya Membe). Mwe, muwage na soni japo kidogo! Kama kuna vitu vilivyoiaibisha serikali ya TZ sijui kama kuna kinachozidi suala hili. Basi tu, jamaa wenyewe wana sura za mpingo.
 
Hii ndio nchi ya wajinga wanaodanganyika bila kuchukua hatua yoyote sasa deali kama hizi Takukuru walisafisha chenge mapemaaaa
 
Hiyo Kesi huko UK itaisha kimya kimya kwa faida ya maslahi ya UK. Ndio Maaana BAE walikubali kulipa fine. I can feel that lazima system ya kule iliwahakikishia kuwa the whole truth wont be uncovered.

Serikali ya UK ilibidi ifute kesi kama hii ya rushwa ya BAE kuuzia vifaa UAE. UAE kujua kuna watoto wa wafalme walihusika walitishia kusitsha mikatabaya kunuanua silaha UK. Kesi hiyo nao ilipotea. So hata Waingereza mbele ya maslahi yao wanapindisha mambo
 
Just imagine Chenge ndio angekuwa spika huku kesi inaendelea.
CCM imekosa aibu!!
 
Back
Top Bottom