Manager
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 531
- 73
walimficha kwako au walimficha na kwa waendesha mashitaka pale mahakamani....wewe ulitaka umwone halafu kiongezeke nini kwako au katika kusaidia kesi....kama ni pandikizi au la, nani kati yako wewe na hakimu aliyetakiwa kudetermine?
Mbona unatetea sana, au ndio ni wale wale! Kazana mkuu!!!!