Chingwanji
Member
- Oct 18, 2006
- 54
- 2
Duh JF bwana, sasa kweli tumepanda kichwa, yaaani hata mahakama haijaaamua sisi tumesha iamulia hukumu, duh ukisikia masikio kupita kichwa ndio hii wakuu,
Duh tuiachieni mhakama kwanza iamue wakuu!
Mambo yanayo fanywa na JF kuanza kuangalia mambo kwa umbali na hata kutabili hufanywa sana na media na hasa US na nadhani watu kuelezea wanalo liona kutokana na mauza uza na ya kesi yenyewe inavyo pelekwa.
Sijaona watu wamesema wote kwamba Kesi imeisha ila mwekeleo ni sawa na ule wa mafisadi na EPA na madawa ya kulevya then people do connect events na kupata what they are saying now .Je ni mbaya ?